mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
Jamaa mwenyewe amepotea tumebaki tunahisi tuBora ucheke swahiba. Sio emmy bana.
Jamaa mwenyewe amepotea tumebaki tunahisi tuBora ucheke swahiba. Sio emmy bana.
Ewaaa. Hayo ndio maneno swahiba. Sio emmyNami nimegundua sio wewe swahiba
Jamaa mwenyewe amepotea tumebaki tunahisi tu
poleni sana nawaona tu mlivyo na shauku swahiba.Mmh. Nyie sio mimi. Mie Mmasai mjue sio Mtanga.
![]()
![]()
![]()
![]()
Kupiga debe gani tena?![]()
![]()
nisaidie kupiga debe
Hahaaa. Ushahidi wa nini tena mdogo wangu?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nikiulizwa ushahidi utajificha dada yangu
Kajenga genge halafu kalitelekeza aiseeJamaa mwenyewe amepotea tumebaki tunahisi tu
Haha naona karudi mwenye uzi wake ngoja tuone atamtaja nani![]()
![]()
![]()
poleni sana nawaona tu mlivyo na shauku swahiba.
Karudi labda saiv atakuwa na nguvu ya kuongea kwa uwaziKajenga genge halafu kalitelekeza aisee
Kwa emmyta![]()
![]()
nisaidie kupiga debe
Hahaha angalia usianguke maana ulivyokimbia
Mleta mada anaonekana domo zege,emmyta amekuja anaanza kujing'atang'ata yeye badala ya mwanamkeKarudi labda saiv atakuwa na nguvu ya kuongea kwa uwazi
Taja ID yako ya zamani.![]()
![]()
nisaidie kupiga debe
Akaaa. Sitaki kesi mieeee swahiba.Hahaha angalia usianguke maana ulivyokimbia

Ngoja tusubiri hatima ya hichi kijiweKarudi labda saiv atakuwa na nguvu ya kuongea kwa uwazi
Kwa emmyta
Hahahaa.Mleta mada anaonekana domo zege,emmyta amekuja anaanza kujing'atang'ata yeye badala ya mwanamke

Kwakweli aisee sema anajiumaumaNgoja tusubiri hatima ya hichi kijiwe