Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,672
Jiandae kisaikolojia maana atatembea na wateja hadi meneja wake
Umenena sana mkuuMkuu hapo ishu siyo kuuza bar je ni muaminifu kiasi gani? Mbona kuna mabarmaid wengi tuu wanajitambua na hawashikwi shikwi ovyo wala kupigwa mashine ovyo.
Mimi katika kulewa kwangu kipindi kile Heineken na sasa hivi balimi nimekutana na mabarmaid kibao ambao wanajitambua. Wangapi humu wameoa macashier wa benki tukienda tuu kudeposit milioni kumi akikuangalizia Salio akikuta balance inafika 100m anaomba namba ya simu mwenyewe na jioni hiyo hiyo unaenda kupiga? The point siyo aina ya kazi Bali aina ya mwanamke ulienae
Nakutakia mafanikio mema mkuu wewe na Shemeji yangu.