Nimemtafutia kazi bar mke wangu!

Nimemtafutia kazi bar mke wangu!

Mrembo kama bakhresa anauza vitumbua,maandazi na chapati kwanini wewe uone soo badirika na chukua hatua uone fursa,
7581a60b4c3f0493ad56f4edbe4cd527.jpg
hapo naona ukuta haujasakafiwa ndio chumbani kwako?
e3b50ad24329b414f61ead836059211d.jpg
Sio chumban kwangu ni kwa nyumb y mzee uko mkoani nilipoenda kusalikia naish na sisy now umeelewa au bado kingine jukum la kutia plasta nyumb si jukumu langu ilooo
 
Mrembo kama bakhresa anauza vitumbua,maandazi na chapati kwanini wewe uone soo badirika na chukua hatua uone fursa,
7581a60b4c3f0493ad56f4edbe4cd527.jpg
hapo naona ukuta haujasakafiwa ndio chumbani kwako?
e3b50ad24329b414f61ead836059211d.jpg
Kwa gharama za hizo nywele huyu mtoto anapendwa sana na wazazi wake!
 
Mrembo kama bakhresa anauza vitumbua,maandazi na chapati kwanini wewe uone soo badirika na chukua hatua uone fursa,
7581a60b4c3f0493ad56f4edbe4cd527.jpg
hapo naona ukuta haujasakafiwa ndio chumbani kwako?
e3b50ad24329b414f61ead836059211d.jpg
Kwa gharama za hizo nywele huyu mtoto anapendwa sana na wazazi wake!
 
Nimuombee tu afanye kazi kwa ujuzi na weledi kama ulivyomuomba
 
UONGO ULIOPINDUKIA. MIMI MKE WANGU SIWEZ KUMRUHUSU HYO KAZ, HATA KAZ YA UHUDUMU WA HOTEL SIMRUHUSU SEMBUSE BAR?
 
Mkuu hapo ishu siyo kuuza bar je ni muaminifu kiasi gani? Mbona kuna mabarmaid wengi tuu wanajitambua na hawashikwi shikwi ovyo wala kupigwa mashine ovyo.
Mimi katika kulewa kwangu kipindi kile Heineken na sasa hivi balimi nimekutana na mabarmaid kibao ambao wanajitambua. Wangapi humu wameoa macashier wa benki tukienda tuu kudeposit milioni kumi akikuangalizia Salio akikuta balance inafika 100m anaomba namba ya simu mwenyewe na jioni hiyo hiyo unaenda kupiga? The point siyo aina ya kazi Bali aina ya mwanamke ulienae
Nakutakia mafanikio mema mkuu wewe na Shemeji yangu.
 
Ni- PM hiyo Bar anayofanya kazi ili nikamuungishe biashara
 
sisi wanywaji tunajua sio dada wote wa Bar ni Malaya.Atakuchangamkia atawanywea au mkampa tip ila mzigo hatoi.Siku hizi wanawake wengi wasaliti ni hawa wanaojifanya wanaenda maombi kila siku wana nyege hao.wanagawa papuchi kimya kimya na ukafikiri una mke mwaminifu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom