AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Kwa nini nasema hivyo? Kwa sababu, kwa mfano, mke wa mtu akichepuka tu mara moja moja kwa mtindo wa NSA, huko si kuwa na mahusiano ya zaidi ya mtu mmoja. Mahusiano ni zaidi ya screwing. Kuna date nights, hot dates, you name it.
Halafu, mahusiano nayo kwani ni lazima yahusishe mboli na kipapa tu? Je watu wakiwa wana flex huko kwenye ma Instagram, au kuambiana wanapendana huku JF pasipo waume, wake, au wenza wao kujua, hiyo inakubalika katika hali ya kawaida?.
Am glad you are well.
On one: Ni ngumu kuonyesha kuwa yule pale for tupo katika mazingira tofauti, watu tunaowafahamu in real life wote kwa pamoja ni wachache mno. Na the problem lies in the fact kuwa hili suala halipo set kuwa huyu anaweza kufanya na huyu hawezi kufanya, ila tu kuna ile huyu anaonyeshwa kwa kiasi kikubwa msimamo wake upo hivi na yule vile...
Likija suala la kuchepuka... Kuchepuka ni kuchepuka tu no matter ni kwa style ipi. Nakubaliana na wewe on the issue ya mahusiano kuwa na mipaka. Kwa kutumia mfano uliotumia; Ikiwa mtu hapa JF anasema anapenda mtu kwa utani then ili ijulikane kweli ni utani ni awe huru mpenzi/mwenza wake ajue utani huo OR else labda hana mpenzi/mwenza, nje ya hapo ni tatizo for inajenga misingi ya cheating na hivyo kupunguza uaminifu.
BTW Ngabu, nothing is that easy. You just try your level best and hope for the best.