UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,400
- 1,017
Mwenzio anataka ushauri si madongo kuwa mtu mwelewamimi naona kakuambia ukweli kabisa, kazi hiyo na ya kutunza familia ni ya mwanaume, kama utaendelea na tabia hiyo namshauri aendelee kukudharau tu, pia hivyo viwanja viwili inaonekana umeficha ndo maana kakuambia hivyo, unastahili kabisa kudharaulika mkuu, namuunga mkono mkeo, timiza wajibu wako mtoto wa kiume.