Nimemshitukia mke wangu

Nimemshitukia mke wangu

Kweli tumetofautiana kwa nin niishi maisha ya mashaka hasa kwenye mambo yanayowezekana.....Kama ni mimi najenga kabisa hapo bila kujali itakavyokuwa uko mbelen na hata ikifikia mahal ikiwa mbaya nitamwachia nyumba na kila kitu ndan nitondoka na begi langu la nguo tu maadam tuna (m)watoto nae. Watu wanazawadia ma-girlfriend nymba na magar sembuse nilie unganisha nae damu bana...Na sintajal matumiz ya hizo mali tukishaachana auze, abomoe atajua yeye...
Ntaanza upya tena, Ila huna uhakika wa kupata pesa tena utang'ang'ana.

hii ni fursa naiona kwako kabisaa... miss chagga njoo huku mae
 
Last edited by a moderator:
Anatokea mkoa wa tabora japo kasomea std 1 mpaka elimu ya chuo hapa dar.nashukuru ma great thinkers nahisi kupumua maana sumu ilinijaa

unaogopa mnyamwezi mkuu.??? hawana madhara hao si unamuona hata shilole
 
Mama mama! Mnyamwezi?? Sioi hata bure. Sishangai

kwanini mkuu??? wana mahaba bin mahabati kama watoto wa pwani.. si unakaona kale ka Serengeti boy ka Shilole kalivojituliza mkuu??? jaribu utaniambia
 
Jana kuna kiugomvi cha maneno kilitokea baina yangu na wife katika maneno yaliyonishitua ni wife kuniambia mwanaume mzima hata kiwanja mpaka ninunue Mimi!! Iko hivi,ni majuzi kachukua mkopo akanunua kiwanja na akaanza kutoa kipaumbele tuanze ujenzi japo kuna Viwanja vingne viwili ninavyo ili nimeviandka majina ya first born wangu( wa nje ya ndoa) wana mum kauli hiyo imenifikirisha kuwa huenda hata tukijenga hiyo nyumba ipo siku ntapewa maneno ya manyanyaso kwan inaonekana kama ni individual asset not family kama nilivyochukulia.ushauri je wewe kauli hiyo unaichukuliaje?

Hapo wote hamuaminiani, mnaishi kwa kuviziana na mnaishi kwenye ndoa kama wajibu tu.
 
Jana kuna kiugomvi cha maneno kilitokea baina yangu na wife katika maneno yaliyonishitua ni wife kuniambia mwanaume mzima hata kiwanja mpaka ninunue Mimi!! Iko hivi,ni majuzi kachukua mkopo akanunua kiwanja na akaanza kutoa kipaumbele tuanze ujenzi japo kuna Viwanja vingne viwili ninavyo ili nimeviandka majina ya first born wangu( wa nje ya ndoa) wana mum kauli hiyo imenifikirisha kuwa huenda hata tukijenga hiyo nyumba ipo siku ntapewa maneno ya manyanyaso kwan inaonekana kama ni individual asset not family kama nilivyochukulia.ushauri je wewe kauli hiyo unaichukuliaje?

dawa x zimekolea mpaka unamwandika mtoto wake na cjui kama wako na ww jenga 2 cku utakuja kuambiwa hii nyumba nimejenga mm kwa hyo sepa panua mawazo bro kwan we jina huna una2aibisha cc
 
Leo umekuwa mwanamalundi? Manake yeye kila kitu huwa hakimhusu humu

Kuna mada nyingine hazina upeo, sisi hatujui life style yao iko vipi hadi tuwe waamuzi wa mambo yao ya kindoa kama hili...
 
wakuu hebu nisaidie nyie m naosema kuandikisha mali mr nad mrs...
mfano gar unaandikaje hayo majina? ujue hapa kuna masuala ya TIN ambapo ni majina halisi tu...

Je hiz nyumba tunazojenga huku uswaz, skwata, kiwanja 9x12 unaandika wapi hiyo mr na mrs?

wanandoa wanatakiwa kwanza wajiamin kuwa huwaachani ili waweze kufanya maendeleo kwa pamoja, ukiona watu wanaanza kuviziana na kufichana mambo au kuleteana dharau za kijinga, ujue taa ya njono imewaka
 
Kwa nini uliviandika kwenye jina la mtoto wako wa nje? Ina maana huamini your existence katika hii sayari ya dunia? Au jina lako haliandikiki? Au ni mali ya kifisadi?
 
Uza viwanja vyote nunua mkoko, tena posche new model imetoka. Nyumba kitu gani bana, hata kobe si anayo tena imepigwa tiles.

alaa umenifumbua macho bhana . ndio maana wengi wananunua mukoko badala ya kujenga nyumba
 
tafuta kiwanja kingine........hicho mwachie....mana ndiyo utakuwa wimbo wa taifa........

Hawa wanaume walio zaliwa na kukulia Bara akipewa papuchi huwa wanajisahau sana so I predict atajenga tu!

Sisi tulio kulia Pwani ndiyo huwa tunaona papuchi kitu cha kawaida hata huwa tunathubutu kufanya maamuzi stahiki!
 
Kwanini viwanja vyako view Siri hicho cha mwanamke ndio unapigia hesabu?kupata hicho kiwanja imembidi slope kujenga atakopa sehemu ngapi?
 
Watu wengine bwana! Kudhalilishana tu ona sasa mkeo anavoitwa majina ya ovyo ovyo wakati mlikoanzia mpaka mkafikia mambo ya kuongelea viwanja hatujui
 
Jana kuna kiugomvi cha maneno kilitokea baina yangu na wife katika maneno yaliyonishitua ni wife kuniambia mwanaume mzima hata kiwanja mpaka ninunue Mimi!! Iko hivi,ni majuzi kachukua mkopo akanunua kiwanja na akaanza kutoa kipaumbele tuanze ujenzi japo kuna Viwanja vingne viwili ninavyo ili nimeviandka majina ya first born wangu( wa nje ya ndoa) wana mum kauli hiyo imenifikirisha kuwa huenda hata tukijenga hiyo nyumba ipo siku ntapewa maneno ya manyanyaso kwan inaonekana kama ni individual asset not family kama nilivyochukulia.ushauri je wewe kauli hiyo unaichukuliaje?

mkeo na wewe, unafikiri ni nani mwenye tatizo?
 
Back
Top Bottom