Nimemshitukia mke wangu

Nimemshitukia mke wangu

Piga chin huyo demu hafai

si wife material

mpge chin akutane na vijana wa mjini kwanza
 
Jana kuna kiugomvi cha maneno kilitokea baina yangu na wife katika maneno yaliyonishitua ni wife kuniambia mwanaume mzima hata kiwanja mpaka ninunue Mimi!! Iko hivi,ni majuzi kachukua mkopo akanunua kiwanja na akaanza kutoa kipaumbele tuanze ujenzi japo kuna Viwanja vingne viwili ninavyo ili nimeviandka majina ya first born wangu( wa nje ya ndoa) wana mum kauli hiyo imenifikirisha kuwa huenda hata tukijenga hiyo nyumba ipo siku ntapewa maneno ya manyanyaso kwan inaonekana kama ni individual asset not family kama nilivyochukulia.ushauri je wewe kauli hiyo unaichukuliaje?

Jenga kiwanja cha firstborn kwisha habari huyo shetani mpeleke uwanja wako usikubali kucheza ngoma yake.
 
Anatokea mkoa wa tabora japo kasomea std 1 mpaka elimu ya chuo hapa dar.nashukuru ma great thinkers nahisi kupumua maana sumu ilinijaa
 
huo mkopo amedhamini na kitu gani cha familia?

kaandika jina/majina gani katika hati?


kama hakuna na kwa jinsi sheria za Tanzania zilivyokaa kaa hasa ile ya LAW OF MARRIAGE ACT, nakushauri ununue kiwanja chako wewe na uandikishe jina la mtoto wenu wa ndoa.

Na kila properties utakayonunua andika majina ya watoto wenu.
 
Yani kumilikisha kiwanja mtoto wa nje ya ndoa?!, dah kaka angu apo ulikosea sana, naweza nkasema kauli aliyotumia mkeo kama alikua sahihi, sasa basi kati ya ivo viwanja viwili kimojawapo badili tu umiliki kiwe cha familia halafu jenga uone kama ataendelea kutoa kauli mbaya. Ni mtazamo wangu tu.
 
huo mkopo amedhamini na kitu gani cha familia?

kaandika jina/majina gani katika hatia

kama hakuna na kwa jinsi sheria za Tanzania zilivyokaa kaa hasa ile ya LAW OF MARRIAGE ACT, nakushauri ununue kiwanja chako wewe na uandikishe jina la mtoto wenu wa ndoa.

Na kila properties utakayonunua andika majina ya watoto wenu.

Good idea I like it!
 
haya majambazi yasio tumia bunduki haya! lakini nawe kaka mbona ulimuandika mtoto wa nje ya box? mnaishi kwa timing!
 
Wewe ni mbinafsi usishangae hiyo kauli. Unaacha kumuamini mkeo unaenda andikisha mtoto wa nje. Bado hujajua maana ya ndoa. Jinga sana wewee.

umeona eeh eti mali zote kamwandikisha mwanae wa nje aiseee
 
Wewe ni mbinafsi usishangae
hiyo kauli. Unaacha kumuamini mkeo unaenda andikisha mtoto wa nje. Bado
hujajua maana ya ndoa. Jinga sana wewee.

afadhali ndugu umenisaidia kutoa yalio moyoni. wanaume wengi ni wabinafsi sana.
 
Hahaa mkuu unataka kujenga kwenye hifadhi ya barabara, tegemea x muda wowote ule kupisha upanuzi wa barabara.
 
Wewe ni mbinafsi usishangae
hiyo kauli. Unaacha kumuamini mkeo unaenda andikisha mtoto wa nje. Bado
hujajua maana ya ndoa. Jinga sana wewee.

afadhali ndugu umenisaidia kutoa yalio moyoni. wanaume wengi ni wabinafsi sana.
 
Tupe sababu ya kuandikisha viwanja mtoto wa nje.? Huyo mkeo hujazaa nae.?? Nini hatma ya watoto wako wa ndoa...au umelogwa.,,???
 
Kafanya vizuri yaan viwanja viwili na vyote umemuandika mtoto wa nje?? Ujisikii aibu?
 
Back
Top Bottom