dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,220
- 54,863
Mpaka unanusa harufu ya mishikakimpaka itoe moto
Mpaka unanusa harufu ya mishikakimpaka itoe moto
Mkuu ukimwi unautafuta kwa nguvu lakini hauambukizwi kama wengi wanavyosema wote wangeugua ukimwi na kwambia hakuna ambae hafanyi hiyo mambo kupitia hilo zahma nilijifunza vingi sanaaaampaka unanusa harufu ya mishikaki
Nitakua mjinga wa mwisho kuamini hili! Lazima ulikula mzigo, lazima!Habari za Muda Huu Waungwana,
Samahani kama nItakuwa nakosea kuwasilisha hii Mada lakini naombenii ushauri kwenye hili, Juzi Kati nilikamata mdada mmoja kutoka Bar fulani Maeneo ya Ubungo, Sasa nikampeleka kwangu usiku huku tukiwa tumelewa, Ilipofika muda wa kunjunjana nikataka kuvaa kondomu akasema anaogopa ataumia.
Nikamwambia basi nikupime kwanza maana vipimo ninavyo, akacheka akasema mimi ni mwanaume wa 4 kwake hana historia ndefu then akasema wiki mbili zilizopita aliumwa akaenda kuchek ngoma akakutwa hana, lakini akasema kama nataka kuhakikisha basi nimpime.
Akawa hana wasiwasi kabisaa, me nikampima then mzigo ukasoma positive, hapa nikatumia ujanja kumficha ili asijue, niliogopa angejisikia vibaya. Basi nikazuga zuga mpaka tukalala, asubuhi nikampa nauli akasepa.
Sasa Nachoomba mnisaidie ni Je nimueleze kuwa yeye ni HIV positive au nimpotezee maana nakutana nae sana mtaani huku.
Anafanya kazi katika bar ya mtaani.
Natamani kumueleza ukweli lakini nashindwa.
Je, nifanyeje?
Story kadanganya ila atakua amepiga ila yeye yupo safe na mwenzake anao na wanawake ndio watu waliokatika kundi hatari la maambukizi mwanaume kama umetahiliwa na hufanyi ngono mara kwa mara uwezekana wa kupata maambukizi ni mdogo na wale wenye viba100 wako salama sana ingawa wanasemwa sanaLabda kama hana utimamu wa akili kichwani, yaani umpime mtu kwa lengo la kumpandisha mlima halafu uzidiwe na pombe, kisha asubuhi umshiti halafu jioni hukumtafuta,
BORA UNUNUE... Nakazia hapoToka hapo nilimrudia Mungu na matendo ya zinaa yapo mbali na mimi ila nilichojifunza bora ununue kuliko kua na demu unaamini upo peke yako confidence ya kwenda peku hua kubwa ila jamaa anashangaza mwanamke wa bar unataka kupiga bila ndomu? Mwanamke wa kwenda nae dry ni uoe bas
Yan bora mkuu cuz unatumia mpira ila ukimuamini amina kwakua yupo kitaa then anakupa story hivi wanawake wanaojiuza wanafikiria nini kumbe yeye ndo anajiuza vibaya na kwa hatari kuliko wale na wale unaambiwa wanakunywa prep kila baada ya mwezi ili kuwalinda na hatari yoyoteBORA UNUNUE... Nakazia hapo
Nakubaliana na ww 100% mkuu... Ukimuamini tu ndio unaumia... Bora ule mrax na ndomu dailyYan bora mkuu cuz unatumia mpira ila ukimuamini amina kwakua yupo kitaa then anakupa story hivi wanawake wanaojiuza wanafikiria nini kumbe yeye ndo anajiuza vibaya na kwa hatari kuliko wale na wale unaambiwa wanakunywa prep kila baada ya mwezi ili kuwalinda na hatari yoyote
Hayo majibu ni weak Positive. Inawezekana huu mstari wa kwanza ulijitokeza baada ya dakika 30 kupita hivyo sio majibu sahihi. Ulitakiwa usome ndani ya dakika 15 tu.
Mie mwaka 2012 nilipata demu, nilipokuwa najiandaa kwenda uvinza wakati amechanua miguu nikaona kipele kibichi katika tako, akili ikaniambia acha unachotaka kufanya kweli nikaghairi kwenda uvinza, nikavaa raincoat nikapiga bao 4, asubuhi nikasepa ila bado akilini nilikuwa nakumbuka kile kupele. Baada ya wiki mbili tukapanga kurudia ila nikamwambia nataka tupime ili nipige bila combat akakubari, tulipokutana tukapima nikaviacha vipimo nikaenda bafuni, niliporudi nikakuta kipimo kimoja kingine hakipo nikauliza kipimo kingine kipo wapi?Kuna upotoshaji mkubwa kwenye hii story mkubwa mnoo kuna vingi ameficha nilipitia hii hali hata mimi ya demu mwenye changamoto hiyo ila alikua nao ila alikua anatumia dawa mda mrefu sasa doctor wake anapochukua dawa alimwambia unaweza fanya sex na mtu usimuambukize cha muhimu usichubuke kwa kujiandaa vyema nilipita nae kavu baada ya mtu kunitonya kua hebu mpime nilipompima akawa positive ndo kusema ukweli nilijua na mimi nimeshaukwaa ila Mungu ni mwema nilipima mara tatu hakuna kitu nipo negative nilichokuja kujifunza ukimwi unapatika kana kwa michubuko mpaka blood transfusion iwepo. Na ile michezo ya kumkomoa mwanamke sijui upige mbususu mpaka itoe moto ndo safari ya ukimwi unaipata
Story kadanganya ila atakua amepiga ila yeye yupo safe na mwenzake anao na wanawake ndio watu waliokatika kundi hatari la maambukizi mwanaume kama umetahiliwa na hufanyi ngono mara kwa mara uwezekana wa kupata maambukizi ni mdogo na wale wenye viba100 wako salama sana ingawa wanasemwa sana
wewe vyako vinasomaje? umejichecki mara ngapi?
ukimwambia anaweza akakustaki kwa sababu wewe siyo daktari.atakugeuzia maneno atapata hela.maana utakuhisi utamdhalilisha kiasi atakosa mawindo ya mtaani kwenu
Sawa. Matumizi ya buffer isiyo ya kipimo husika nayo yanaweza kukupa majibu yasiyo sahihi.Mie mwaka 2012 nilipata demu, nilipokuwa najiandaa kwenda uvinza wakati amechanua miguu nikaona kipele kibichi katika tako, akili ikaniambia
Umwambie ukweli UPI?Habari za Muda Huu Waungwana,
Samahani kama nItakuwa nakosea kuwasilisha hii Mada lakini naombenii ushauri kwenye hili, Juzi Kati nilikamata mdada mmoja kutoka Bar fulani Maeneo ya Ubungo, Sasa nikampeleka kwangu usiku huku tukiwa tumelewa, Ilipofika muda wa kunjunjana nikataka kuvaa kondomu akasema anaogopa ataumia.
Nikamwambia basi nikupime kwanza maana vipimo ninavyo, akacheka akasema mimi ni mwanaume wa 4 kwake hana historia ndefu then akasema wiki mbili zilizopita aliumwa akaenda kuchek ngoma akakutwa hana, lakini akasema kama nataka kuhakikisha basi nimpime.
Akawa hana wasiwasi kabisaa, me nikampima then mzigo ukasoma positive, hapa nikatumia ujanja kumficha ili asijue, niliogopa angejisikia vibaya. Basi nikazuga zuga mpaka tukalala, asubuhi nikampa nauli akasepa.
Sasa Nachoomba mnisaidie ni Je nimueleze kuwa yeye ni HIV positive au nimpotezee maana nakutana nae sana mtaani huku.
Anafanya kazi katika bar ya mtaani.
Natamani kumueleza ukweli lakini nashindwa.
Je, nifanyeje?
Umwambie ukweli UPI?
Afu, kwani amekuambia umwambie ukweli wowote?
Fanya yako Arifu!!