Nimempiga mtoto kibao, nimelia mimi

Nimempiga mtoto kibao, nimelia mimi

Nimeumia sana. Sijawai kumpiga mtoto wangu ila aliniuzi nikajikuta nampiga kibao....nimelia mimi. inauma sana. sijui wengine mnawezaje ila naumia sana. Wanawake ni wa kuheshimu sana mimi sijambebatumboni nasikia hivi sijui mama yake angekuwepo ingekuaje... Mungu awape nguvu wamama wote.
Mwenzako tarime kapiga panga la kichwa
 
Umama huo
Nimeumia sana. Sijawai kumpiga mtoto wangu ila aliniuzi nikajikuta nampiga kibao....nimelia mimi. inauma sana. sijui wengine mnawezaje ila naumia sana. Wanawake ni wa kuheshimu sana mimi sijambebatumboni nasikia hivi sijui mama yake angekuwepo ingekuaje... Mungu awape nguvu wamama wote.
 
Mtoto analia, dada analia na Baba analia! Ulienda kulilia chumbani au wote mliangusha kilio hapo sebuleni?
haha Mkuu unajua nilitaka nje nikajifanya naongea na simu kumbe natoa machozi...nashukuru Mungu kwa mangi sio mbali...nilienda kusawazisha.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mwenzako tarime kapiga panga la kichwa
Yeye na mimi tuko sawa...ni hasira..nimeleta hapa ili niwafumbue macho. kibao nilichompiga sio sawa. ni mdogo sana kwa kile kibao. tuwe makini sana tukiwa na hasira.
 
Nimeumia sana. Sijawai kumpiga mtoto wangu ila aliniuzi nikajikuta nampiga kibao....nimelia mimi. inauma sana. sijui wengine mnawezaje ila naumia sana. Wanawake ni wa kuheshimu sana mimi sijambebatumboni nasikia hivi sijui mama yake angekuwepo ingekuaje... Mungu awape nguvu wamama wote.
Damn weak...!
 
Nakumbuka kuna siku nilimletea bi mkubwa shida home, mzee alinipiga mtama wa futi 10 nikadondoka na kiuno, nikasira kula siku nzima nikasema sitakula alivyo kuja kuambiwa mm ndiyo niliye toa ile kauli aliwekea kwenye target room alinikamata miguu juu kichwa chini nilikula mitama ya hewani nilipigwa mikanda mixer mabanzi ngumi za shingo... Tangia siku nikawa mtoto ,wenye adabu hata nikisikia harufu ya mzee tayari nimesha msalimia kabla sijamwona.. Mwisho wa siku akaja kuwa best friend wangu, a.k.a mtunza siri za mzee...

Wazazi nowday wanachangia kwa asilimia kubwa watoto kuwa machoko... Mwanaume hutakiwa kuonyesha madhaifu yako kisenger namna hiyo
 
Ndio maana nimeumia. ni hasira....nimeleta ili tujifunze wote...sio sawa hata kidogo. lakini nimeumia sana.
Hope ni mtoto wako..angekuwa ni mtoto wangu tungezichapa live tuone nani bingwa.
 
Nakumbuka kuna siku nilimletea bi mkubwa shida home, mzee alinipiga mtama wa futi 10 nikadondoka na kiuno, nikasira kula siku nzima nikasema sitakula alivyo kuja kuambiwa mm ndiyo niliye toa ile kauli aliwekea kwenye target room alinikamata miguu juu kichwa chini nilikula mitama ya hewani nilipigwa mikanda mixer mabanzi ngumi za shingo... Tangia siku nikawa mtoto ,wenye adabu hata nikisikia harufu ya mzee tayari nimesha msalimia kabla sijamwona.. Mwisho wa siku akaja kuwa best friend wangu, a.k.a mtunza siri za mzee...

Wazazi nowday wanachangia kwa asilimia kubwa watoto kuwa machoko... Mwanaume hutakiwa kuonyesha madhaifu yako kisenger namna hiyo
Mkuu mimi nimepigwa sana...mpaka kulazwa nje. najua mwanangu anajisikiaje...ndio maana naumia. sijatoka kwenye familia bora...nimetoka kwenye familia ya kazi haswa...
 
Back
Top Bottom