Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,286
- 18,555
Sasa tumnyamazishe mtoto au wewe??
Nimeumia sana. Sijawai kumpiga mtoto wangu ila aliniuzi nikajikuta nampiga kibao....nimelia mimi. inauma sana. sijui wengine mnawezaje ila naumia sana. Wanawake ni wa kuheshimu sana mimi sijambebatumboni nasikia hivi sijui mama yake angekuwepo ingekuaje... Mungu awape nguvu wamama wote.
Good job! Huo ni mwanzo mzuri, except the crying partNimeumia sana. Sijawai kumpiga mtoto wangu ila aliniuzi nikajikuta nampiga kibao....nimelia mimi. inauma sana. sijui wengine mnawezaje ila naumia sana. Wanawake ni wa kuheshimu sana mimi sijambebatumboni nasikia hivi sijui mama yake angekuwepo ingekuaje... Mungu awape nguvu wamama wote.

just make sure unakaonyesha kwamba t will happen again kakileta ujinga

Nimeumia sana. Sijawai kumpiga mtoto wangu ila aliniuzi nikajikuta nampiga kibao....nimelia mimi. inauma sana. sijui wengine mnawezaje ila naumia sana. Wanawake ni wa kuheshimu sana mimi sijambebatumboni nasikia hivi sijui mama yake angekuwepo ingekuaje... Mungu awape nguvu wamama wote.
Kibao ndio kimenifanya niumie...nimempiga cha usoni.
Haya bwana karibu chama cha uchakavuHahaha...niko aisee..maisha ndugu yangu. Nimechakaa....huyo jamaa simjui kwa kweli.
Nilishampa maonyo ya kugombana na dada...nimerudi nikakuta anagombana na dada kisa Kazima TV....sikuwai kushuhudia ugomvi wake ila nilipanick maana alikua anamvuta na kumpiga ...kwa kweli ilikua ni fujo
Hahaha!!! benteke usilie ni kawaida_ me nikajua ww ndo yule ticha aliemcharanga dogo mapanga kule TarimeNimeumia sana. Sijawai kumpiga mtoto wangu ila aliniuzi nikajikuta nampiga kibao....nimelia mimi. inauma sana. sijui wengine mnawezaje ila naumia sana. Wanawake ni wa kuheshimu sana mimi sijambebatumboni nasikia hivi sijui mama yake angekuwepo ingekuaje... Mungu awape nguvu wamama wote.