Nikiwa darasa la kwanza nililazwa nje bila kula kisa sikusoma, ila Leo naona matunda ya kitendo kile,ehehehe umempiga kibao au banzii?
Aisee. Inaweza ikawa kweliHahaha wanaume Tumeisha-- Ndio maana wanaume wa dar tuna taniwa sana aise
Nimeumia sana. Sijawahi kumpiga mtoto wangu ila aliniudhi nikajikuta nampiga kibao. Nimelia mimi, inauma sana.
Sijui wengine mnawezaje ila naumia sana. Wanawake ni wa kuheshimu sana maanamimi sijambeba tumboni nasikia hivi sijui mama yake angekuwepo ingekuaje.
Mungu awape nguvu wamama wote.
Uko sawa kabisa.... kijana wangu ana miaka 8...napoingelea kibao unielewe...ni kibao cha uso
Pole sana dada.Nimeumia sana. Sijawahi kumpiga mtoto wangu ila aliniudhi nikajikuta nampiga kibao. Nimelia mimi, inauma sana.
Sijui wengine mnawezaje ila naumia sana. Wanawake ni wa kuheshimu sana maanamimi sijambeba tumboni nasikia hivi sijui mama yake angekuwepo ingekuaje.
Mungu awape nguvu wamama wote.