Nimempiga mpenzi wangu baada ya kukuta ujumbe wa kimapenzi kwenye simu yake

Wanajamvi uzima upo?

Ninaishi na mpenzi wangu, sijamuoa ila tunaishi wote, na wote tu wanachuo hapa DSM. Jana usiku nilifuma msg katika simu ya huyu mpenzi wangu ya mapenzi(ilikuwa msg chafu iliyodhihirisha kuwa alikuwa akiliwa na mwanaume mmoja mfanyakazi wa bank).

Alikuwa bafuni, kwa kweli nilihamaki sana, nikamsubiri amalize kuoga nikamuuliza, ajabu ananijibu jeuri, kwa kweli nikampiga kwani nilikuwa na hasira, nilipiga ngumi jichoni, sasa jicho lilitoka damu, nina hofu anaweza kupofuka hilo jicho?

Au nilimkwaruza bahati mbaya tu?

Baada ya kuona hivyo nikamuacha na nikaita boda kumkimbiza hospitali baada ya kumnawisha. Halafu kingine alivimba mno uso, je, haitoniletea shida kwa madaktari hivyo kunikamatisha polisi?

Kifupi bado nampenda, tena sana na zaidi ya 93% ya mahitaji hununua yeye, na hata nikikwama hunisapoti naweza kusema hunisapoti sana.

Nawasilisha!


Msome uko chuo mambo yakuuwana hatutaki!!!
 
Kifupi bado nampenda, tena sana na zaidi ya 93% ya mahitaji hununua yeye, na hata nikikwama hunisapoti naweza kusema hunisapoti sana.

Hayo mahitaji na sapoti yanatoka Kwa huyo jamaa,Acha makasiriko mkuu we Kula tu kwa urefu wa kamba yako.
 
Wanajamvi uzima upo?

Ninaishi na mpenzi wangu, sijamuoa ila tunaishi wote, na wote tu wanachuo hapa DSM. Jana usiku nilifuma msg katika simu ya huyu mpenzi wangu ya mapenzi(ilikuwa msg chafu iliyodhihirisha kuwa alikuwa akiliwa na mwanaume mmoja mfanyakazi wa bank).

Alikuwa bafuni, kwa kweli nilihamaki sana, nikamsubiri amalize kuoga nikamuuliza, ajabu ananijibu jeuri, kwa kweli nikampiga kwani nilikuwa na hasira, nilipiga ngumi jichoni, sasa jicho lilitoka damu, nina hofu anaweza kupofuka hilo jicho?

Au nilimkwaruza bahati mbaya tu?

Baada ya kuona hivyo nikamuacha na nikaita boda kumkimbiza hospitali baada ya kumnawisha. Halafu kingine alivimba mno uso, je, haitoniletea shida kwa madaktari hivyo kunikamatisha polisi?

Kifupi bado nampenda, tena sana na zaidi ya 93% ya mahitaji hununua yeye, na hata nikikwama hunisapoti naweza kusema hunisapoti sana.

Nawasilisha!

Ulivyokuta tobo lilishatobolewa hukulalamika. Leo unakuta sms kwenye simu unalalamuka nini? Kabla ya kuwa wapenzi mlikubaliana kwamba aachane na wote walimpitia kabla yako wewe?
 
Wanajamvi uzima upo?

Ninaishi na mpenzi wangu, sijamuoa ila tunaishi wote, na wote tu wanachuo hapa DSM. Jana usiku nilifuma msg katika simu ya huyu mpenzi wangu ya mapenzi(ilikuwa msg chafu iliyodhihirisha kuwa alikuwa akiliwa na mwanaume mmoja mfanyakazi wa bank).

Alikuwa bafuni, kwa kweli nilihamaki sana, nikamsubiri amalize kuoga nikamuuliza, ajabu ananijibu jeuri, kwa kweli nikampiga kwani nilikuwa na hasira, nilipiga ngumi jichoni, sasa jicho lilitoka damu, nina hofu anaweza kupofuka hilo jicho?

Au nilimkwaruza bahati mbaya tu?

Baada ya kuona hivyo nikamuacha na nikaita boda kumkimbiza hospitali baada ya kumnawisha. Halafu kingine alivimba mno uso, je, haitoniletea shida kwa madaktari hivyo kunikamatisha polisi?

Kifupi bado nampenda, tena sana na zaidi ya 93% ya mahitaji hununua yeye, na hata nikikwama hunisapoti naweza kusema hunisapoti sana.

Nawasilisha!

Mario katika ubora wako. Kwahiyo lengo hasa la kuleta mada ulikuwa unahitaji tukusaidieje labda
 
Nenda kaolewe kanda ya ziwa mbona wanakukanda tu hasa ukileta ubishi
Labda kama ninakutegemea hadi pumzi au nimelogwa kukifurahia kipigo.

% kubwa nimekuwa na mahusiano na watu toka mwanza,shinyanga na Mara (musoma)ni watu waelewa shida huja unapokosa adabu na utii..sasa kwanini nishindwe kuwa mwenye Adabu na utii kwa mume.

Lakini hata huyo wa kanda hizo unazozisema hapa ni mithili ya mleta mada ya uboi what sijui huko halafu unaleta umarioo woiiii nikuchanyanywa tu na wakaka wa benki na kwingineko.

Yani huchezi nafasi yako kama mwanaume kwa mwanamke wako halafu unaniletea ushubwada eti wa kunipiga 😂😂huo ujasiri unautolea wapi kwa mfano.

Bora hata ingefikia kwenye levo ya mke na mume unahaki na mamlaka lakini sio kumpiga.ukiua je.

Amekushindaaa..piga chini kaote sehemu nyingine au fanya mambo mengine yamsingi.
 
Umekubalia dharau na jeuri zitawale kwa mpenzi wako baada ya kukubali 93% ya mahitaji atoe yeye. Ilo ndo kosa lako kubwa. Ww na demu wako mnalelewa na uyo jamaa wa bank. Alikujibu kwa jeuri kwa sababu kichwani mwake alarm iliyogonga ulipomuuliza ni "yaan wew nkuvishe nkulishe nkupende halaf unilaumu navyojitoa ule?" Huwez mlaumu

Naww ukampiga maana alarm iliyogonga kichwani ni "Sawa sina kitu ila ndo ujiuze kunlisha. Ina maana ww mwanamke n malaya bla bla bla"

Na nna uhakka humpendi ila upo umalize chuo tu kwa kuvaa vzur na kula vzur. Kubali nafasi uliyojiweka usimtese binti. Waache watu wale vyao
 
Wanajamvi uzima upo?

Ninaishi na mpenzi wangu, sijamuoa ila tunaishi wote, na wote tu wanachuo hapa DSM. Jana usiku nilifuma msg katika simu ya huyu mpenzi wangu ya mapenzi(ilikuwa msg chafu iliyodhihirisha kuwa alikuwa akiliwa na mwanaume mmoja mfanyakazi wa bank).

Alikuwa bafuni, kwa kweli nilihamaki sana, nikamsubiri amalize kuoga nikamuuliza, ajabu ananijibu jeuri, kwa kweli nikampiga kwani nilikuwa na hasira, nilipiga ngumi jichoni, sasa jicho lilitoka damu, nina hofu anaweza kupofuka hilo jicho?

Au nilimkwaruza bahati mbaya tu?

Baada ya kuona hivyo nikamuacha na nikaita boda kumkimbiza hospitali baada ya kumnawisha. Halafu kingine alivimba mno uso, je, haitoniletea shida kwa madaktari hivyo kunikamatisha polisi?

Kifupi bado nampenda, tena sana na zaidi ya 93% ya mahitaji hununua yeye, na hata nikikwama hunisapoti naweza kusema hunisapoti sana.

Nawasilisha!

Sasa unataka Nini
 
Wewe ni mkorofi jina lako linasema hivyo na huyo demu wako fala sana na mshamba lakini jua mambo ya kupiga piga wanawake itakukosti sana na madamu ushampiga jua kuwa utampiga tena bro tafuta pesa hiyo tabia yako kinganganizi utaendeshwa sana na hao mabinti.
Upo sahihi nitafute hela, hapo nimeelewa.
 
Wanajamvi uzima upo?

Ninaishi na mpenzi wangu, sijamuoa ila tunaishi wote, na wote tu wanachuo hapa DSM. Jana usiku nilifuma msg katika simu ya huyu mpenzi wangu ya mapenzi(ilikuwa msg chafu iliyodhihirisha kuwa alikuwa akiliwa na mwanaume mmoja mfanyakazi wa bank).

Alikuwa bafuni, kwa kweli nilihamaki sana, nikamsubiri amalize kuoga nikamuuliza, ajabu ananijibu jeuri, kwa kweli nikampiga kwani nilikuwa na hasira, nilipiga ngumi jichoni, sasa jicho lilitoka damu, nina hofu anaweza kupofuka hilo jicho?

Au nilimkwaruza bahati mbaya tu?

Baada ya kuona hivyo nikamuacha na nikaita boda kumkimbiza hospitali baada ya kumnawisha. Halafu kingine alivimba mno uso, je, haitoniletea shida kwa madaktari hivyo kunikamatisha polisi?

Kifupi bado nampenda, tena sana na zaidi ya 93% ya mahitaji hununua yeye, na hata nikikwama hunisapoti naweza kusema hunisapoti sana.

Nawasilisha!

Jiandae kukaa lupango moja na makonda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mwanaume dhaifu sana.
Unajiona mmiliki na hati ya umilikisho huna bure kabisa.

Yani ajihudumie yeye na wewe akuhudumie bado umpigebrother ishi Kwa malengo mwana

Bado hujakomaa vizuri
Narudia, akizingua anapigwa.
 
Sasa kama 93% ya mahitaji ananunua yeye na wewe anakupiga tough wakati hana kazi hujui kama unatunzwa na huyo mfanyakazi wa benki!
Huyu jamaa lofa kweli... kumbe analelewa alafu analeta ubabe wa kijinga...

Haya mpofufue na jicho jingine jamaa wa benki amkimbia matumizi yakate ili asikute meseji kwa simu ya huyo bidada ambaye tayari atakuwa kipofu, kisha apandeshi asilimia 7 ya kumpenda ifike 100.

Lakini this time atamhudumia yeye haha.
 
Back
Top Bottom