wewe ni female au male
Humu hujapenda?au kisa fake avater?
Fecebook ndio wapi?
xana tu! mwenzio anataka namna ya kugegeda picha ya f.b!!!!!!!!!!!!
***** zako sasa umempenda demu hujui ufanyaje? Si ungeuliza huko huko fb
Bad mood?Go kick rocks.
.
ila sasa yupo mbali na nilipo nifanyeje?
Xana ndio lugha ya wapi hii?
salaam wakuu
kuna dada nimempenda kule fecebook na nilikuwa napitia pitia kwenye sehemu ya " find friends "mara mtoto huyu hapa,nikamwandika private message akajibu,nikaomba urafiki akajibu sasa ni kama week tuna chats ila ni mzuri sana.
ila sasa yupo mbali na nilipo nifanyeje?
Deo unanitukana unataka nikupende wewe kama unatoa 0712 sema sio kutukana.
salaam wakuu
kuna dada nimempenda kule fecebook na nilikuwa napitia pitia kwenye sehemu ya " find friends "mara mtoto huyu hapa,nikamwandika private message akajibu,nikaomba urafiki akajibu sasa ni kama week tuna chats ila ni mzuri sana.
ila sasa yupo mbali na nilipo nifanyeje?