Msaidie mwanaume mwenzio basssss!!!!
Na humu kuna avatar nyingi tu utazipendaje??
***** zako sasa umempenda demu hujui ufanyaje? Si ungeuliza huko huko fb
hii harufu la choo lumumba hadi huku unafika?
Kama yako hiyo...
Ee Maria, mawazo yangu yote wewe ni mwananmke kumbe ni Mwenzetu! Pole na maswahibu ya kimapenzi.
Hata hiyo yako atashindwa kuipenda mbona pozi liko sawa tu au hajaiona?
Kabla ya yote inabidi tuziangalie hizo post 4827 ulizotuma, maana inawezekana umeingilia akaunt ya mtu.... this cant be serious man, au na wewe ni...salaam wakuu
kuna dada nimempenda kule fecebook na nilikuwa napitia pitia kwenye sehemu ya " find friends "mara mtoto huyu hapa,nikamwandika private message akajibu,nikaomba urafiki akajibu sasa ni kama week tuna chats ila ni mzuri sana.
ila sasa yupo mbali na nilipo nifanyeje?
Xana ndio lugha ya wapi hii?
salaam wakuu
kuna dada nimempenda kule fecebook na nilikuwa napitia pitia kwenye sehemu ya " find friends "mara mtoto huyu hapa,nikamwandika private message akajibu,nikaomba urafiki akajibu sasa ni kama week tuna chats ila ni mzuri sana.
ila sasa yupo mbali na nilipo nifanyeje?