Shkmoon wakuu
Jaman apa nshachanganyikiwa kabisaaa sijui kwa nn dunia hainpendi
Jana nlienda mliman city kutembea ghafla nkakutana na kaka wa aliyekuwa mchumba wangu ambae nliachana nae kama 2 weeks ago,
Katika maongezi yetu akafurah sana kuonana mie akaniomba nipate dinner pamoja nikamkatalia lakn aliniomba sana mwishowe nkaona any way siyo ishu
Basi tukaenda smwhere for dinner
Baada ya dinner tukaanza kunywa wine na story kibao
Mwisho wa yote akaniambia kuwa toka siku ya kwanza aliponiona na mdogo wake alinipenda,nimpe nafasi nikamwambia kwa sasa nina mpenz mwngne ambaye ni (mkurya wangu nliyefahamiana hum hum))akananipromis mambo mengi sana ikiwa n pamoja na kuninunulia gar ya kifahari,nikamwambia anipe mda (ikumbukwe ana mke na watoto wa 2) bas
Tulikunywa sana mwishowe nikamuomba anipeleke nyumban,bas tukaingia kwenye gar acha aanze makis romanc ckuelewa chochote,,
Tukaagana kwamba nitampa jibu leo,
Kuamka leo asbh kantext et jana aliinjoy sana akinikosa atapata presha,
Sijamjibu lolote
Of coz me huwa nipo wazi sifichi hisia zangu nahis nampenda pia!
Nishaurini nimpe jibu gan