Nimempata Asiyebadilika...

Nimempata Asiyebadilika...

Mpwa wangu Mentor ngoja kwanza huu mwaka uishe vizuri hapa nilipo nasikilizia hiki kibao cha Abihudi Misholi

Burudika nacho pia
tenda miujiza by mchungaji abiud mishuli - YouTube

Nyimbo za abiud ni za hisia na unaweza kulia..mim nimesikiliza wimbo wake mmoja unasema Mungu yuko hapa...nanukuu baadhi ya maneno..
Anasema tazama hapo ulipo Mungu yuko hapo..kwanini mimi niteseke..kwanini mimi nipate tabu wakati wew Mungu uko hapo..

Uende wapi Yesu wangu uache mim nateseka usiniache uniguse mana wew Mungu uko hapa..

Nimechoka Mungu nimechoka na sasa nataka miujiza..

Nisaidie Mungu nisaidie...nihurumie Mungu nihurumie..
 
Last edited by a moderator:
Nyimbo za abiud ni za hisia na unaweza kulia..mim nimesikiliza wimbo wake mmoja unasema Mungu yuko hapa...nanukuu baadhi ya maneno..
Anasema tazama hapo ulipo Mungu yuko hapo..kwanini mimi niteseke..kwanini mimi nipate tabu wakati wew Mungu uko hapo..

Uende wapi Yesu wangu uache mim nateseka usiniache uniguse mana wew Mungu uko hapa..

Nimechoka Mungu nimechoka na sasa nataka miujiza..

Nisaidie Mungu nisaidie...nihurumie Mungu nihurumie..
Swahili Gospel: Abihudi Misholi - YouTube
 
Mentor mie mvivu kusoma.
Nisimulie bathii jamani!
 
Last edited by a moderator:
eeehhhh!!!!! pole sana Mentor mie naomba nikutabirie, sijui siku yako ya kuzaliwa ila June 2014 tarehe 1 hadi 10 utapata aliye wa ubavu wako. Na huyu hatokuacha hata iweje na wewe hutomkatia tamaa hata iweje. Sida itakuja kwenye kabila sina uhakika maana mara nyingi wachaga mnaoana wenyewe kwa wenyewe.
Kilala heri kuingia mwaka 2014.
Kitu kingine hata kama hizi unazoweka hapa ni hadithi, kumbuka kuwa in real life mdomo wako unaumba chochote utakachosema( mauti na uzima vi ndani ya vinywa vyenu), malmala nawapeni, funguo za mauti na kuzimu lolote mtakalofunga duniani litafungwa mbinguni na lolote mtakalofungua mbinguni litafunguliwa mbinguni) ni baadgi ya maneno aliyoyasema yesu kuonesha mamlaka tuliyonayo juu ya vinywa vyetu.
Shetani huwa anatumia sana vinywa vyetu kutuangamiza na tukikiri maovu au mabaya anatushtakia kwa mungu nae mungu wetu si muongo neno lake lazima litimie so utajikuta linatimia lile unalosema.
Fikiria mara ngapi umejitamkia daah mimi ni mzembe nimesahau kitu flani, au daah mimi ni mjinga nimesahau hela nyumbani things like that vinztufanya tuzidi kuwa wajinga au wazembe.
Najua wewe ni mtu wa dini (nime-refer signature yako) ila usipende kujikiria madhaifu kama ''bado nipo nipo sana'' in real life hata ukipata mke wa kuoa na kuweka matumaini lazima apotee maana umeshatamka sana haya maneno.
My advice: ingia mwaka 2014 bila kujitamkia maneno yatakayokurudisha nyuma na yale uliyokwishajitamkia yafute na yabaki na mwaka 2013 yasivuke kuja 2014.
Ukijaliwa kupata mke na kupata mtoto ntafurahi ukimuita Jael au Ebenezer Junior.
 
Mwili unasisimka.....You made me blush...OMG I didnt expect it.......And i always hate it when something sweet is done unexpectedly:yo:

hahahaaa how are you by the way........expect the unexpected always

ukimwona Mentor mwambie anitafute
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa how are you by the way........expect the unexpected always

ukimwona Mentor mwambie anitafute
Kinda cool tunasikilizia mwaka mpya.... Mentor ametoka ameleekea vingunguti kuchukua mbuzi wa leo usiku na kesho, simu yake naiona hapa pembeni kwenye charge coz ilikua imezima na tym aliyotoka umeme ulikua umekata...Vp nipe ratiba ya leo... utapatikana?
 
Last edited by a moderator:
Kinda cool tunasikilizia mwaka mpya.... Mentor ametoka ameleekea vingunguti kuchukua mbuzi wa leo usiku na kesho, simu yake naiona hapa pembeni kwenye charge coz ilikua imezima na tym aliyotoka umeme ulikua umekata...Vp nipe ratiba ya leo... utapatikana?

Mi nipo home leo twende zetu sehem basi wakati tukisubiri mkesha wa new year
au we ratiba zikojee my brother
 
Mbona nimeisouma!!!

Naomba uniambie ulichojifunza ndugu yangu...

Huyu "arsenal" Mubaya sana


...tena mubaya sana!

Mentor mie mvivu kusoma.
Nisimulie bathii jamani!

awae nkiki??! Soma bana..

eeehhhh!!!!! pole sana Mentor mie naomba nikutabirie, sijui siku yako ya kuzaliwa ila June 2014 tarehe 1 hadi 10 utapata aliye wa ubavu wako. Na huyu hatokuacha hata iweje na wewe hutomkatia tamaa hata iweje. Sida itakuja kwenye kabila sina uhakika maana mara nyingi wachaga mnaoana wenyewe kwa wenyewe.
Kilala heri kuingia mwaka 2014.
Kitu kingine hata kama hizi unazoweka hapa ni hadithi, kumbuka kuwa in real life mdomo wako unaumba chochote utakachosema( mauti na uzima vi ndani ya vinywa vyenu), malmala nawapeni, funguo za mauti na kuzimu lolote mtakalofunga duniani litafungwa mbinguni na lolote mtakalofungua mbinguni litafunguliwa mbinguni) ni baadgi ya maneno aliyoyasema yesu kuonesha mamlaka tuliyonayo juu ya vinywa vyetu.
Shetani huwa anatumia sana vinywa vyetu kutuangamiza na tukikiri maovu au mabaya anatushtakia kwa mungu nae mungu wetu si muongo neno lake lazima litimie so utajikuta linatimia lile unalosema.
Fikiria mara ngapi umejitamkia daah mimi ni mzembe nimesahau kitu flani, au daah mimi ni mjinga nimesahau hela nyumbani things like that vinztufanya tuzidi kuwa wajinga au wazembe.
Najua wewe ni mtu wa dini (nime-refer signature yako) ila usipende kujikiria madhaifu kama ''bado nipo nipo sana'' in real life hata ukipata mke wa kuoa na kuweka matumaini lazima apotee maana umeshatamka sana haya maneno.
My advice: ingia mwaka 2014 bila kujitamkia maneno yatakayokurudisha nyuma na yale uliyokwishajitamkia yafute na yabaki na mwaka 2013 yasivuke kuja 2014.
Ukijaliwa kupata mke na kupata mtoto ntafurahi ukimuita Jael au Ebenezer Junior.

Do I know you!?? I mean do you know me!???

Join Date : 29th December 2013
Posts : 9
Rep Power : 302
Likes Received6
Likes Given16





napita ila nitarudi, nawatakia maandalizi mema ya kuukaribisha mwaka.
Husninyo, usije tu hapa mkaanzisha swaga zenu na King'asti...WARNING: Wifi yenu yupo around.

hahaha tusimwage mchele kwenye kuku wengi.......njoo tufanye yetu

Get a room!!!

Cc: Rural Swagga
 
Last edited by a moderator:
Do I know you!?? I mean do you know me!???

Join Date : 29th December 2013
Posts : 9
Rep Power : 302
Likes Received6
Likes Given16

nop neither of the above, i dont know u and i dont think if u know me.......
nimekutabiria tuu au my prophecy is 99.9% true??
 
nop neither of the above, i dont know u and i dont think if u know me.......
nimekutabiria tuu au my prophecy is 99.9% true??

Nipigie..., mpenz wangu nipigie,.....

Hahahahahahaaaa!
1) Nisiamini ke!
2) kupima mafuta ndio mpango mzima!
3) Niendeleze kifimbo cheza! Haoi mtu hapa!
Mashaxizo.....jamaniiiiiiiiiiiiii!

Hilo halikuwa lengo langu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom