Nimempata Asiyebadilika...

Nimempata Asiyebadilika...

Ungeimega mega kidogo iendelee jioni ...lol

Ni story nzuri sana ila nikutie moyo kuwa likuepukalo una heri nalo,endelea kumuomba Ebenezer atakupa wa kwako
 
big up sana kwa uandishi mzuri! ila kama ni kweli kuhusu huyo mdada duh im speechless!

Siandiki riwaya za kusadikika mkuu...ni tukio la kweli bila chenga! #yaDUNIA

mmh! hadithi hizi!

Kama kweli vile...Omba yasikukute Lady.A

tumtumie vizur uyu MUNGU tunaemuita....either uchague maj moto au barid...lakin si vuguvugu...utaumbuka.......ndo nilichojifunza

Mdogo wangu brenda18, sijakusoma vyema!

Ingawa ulichosema ni sahihi...kuchagua moja ni jambo la muhimu sana...u r either in or out!

Mentor hahahahaaa a.k.a Mzee wa Inside Verossa hahahhaaaa hii nayo imepamba sana. Aisyebadilika ni MUNGU peke yake aiseee. Nikitoa ushuhuda hapa mtaacha kufanya kazi zenu muanze kunililia hahahaaaaaaa! Safi sana sana, Nanyi iweni watendaji wa neno na si Wasikiaji tu......(mstari gani usinilize)

Mpwa Elli, salama lakini?

Ama kweli asiyebadilika ni mmoja tu. Tafadhali share with us japo kidogo ushuhuda wako walau na sisi tujifunze tuweze kuepuka haya.

Tehe tehee, hizo ni ngano tu babe S za huyu Mentor, hakuna ukweli. Ila hadithi zake huwa nzuri.
MESTOD acha hizo! hadith ya kweli kabisa hii mwache anionee huruma.

::
Aisee! Mambo haya.
=

Omba yasikukute mkuu Tetra.
 
Last edited by a moderator:
asernal aje atubalansie stori

Mentor pole sana..muombe Mungu,atakusaidia...najua u katika wakati mgumu sana na ni ngumu kumuamini mwanamke yeyote tena

lakini,utapita salama katika jaribu hili..na hutokuwepo kuwepo miaka yote
mwallu nashukuru...
 
Last edited by a moderator:
Ooooohps!! Pole sana,,
Story zako huwa nazipenda sana.. Endelea kumtumainia alie juu ipo siku atakupa kilicho bora!
 
kila kitu hutokea kwa sababu na Mungu huwa anatuepusha na shari bila sisi kujua mfano ungetembea nae ungeambiwa watoto ni wako wakati si wako ungeishia kulea watoto wasiokuwa wako, Be happy songa mbele.
 
Tehe tehee, hizo ni ngano tu babe S za huyu Mentor, hakuna ukweli. Ila hadithi zake huwa nzuri.

Pole sana kwa yaliyokutokea.Mimi katika miaka hii siamini kabisa kama unaweza kumpata asiyebadilika.Lakini hukutueleza kama hiyo CVR ulikuwa umekwisha mkabidhi tayari au chali zilikucheza ukabadili mawazo,maana kuna msemo usemao kiendacho kwa mganga utamalizia .......
 
Last edited by a moderator:
Nyie mnao-quote post ndefu namna hii mnatuumiza tunaotumia simu!

Hujakosea mkuu tena umewahi kutoa dukuku ,hata ukitumia desktop still unaharibu radha ni dalili ya ushamba ,hata anachoki quote chenyewe at the end hakieleweki!!
Sijui kwnini wasiwe wana reply?
 
too sad llakini umeanza kitabia cha kina tembosa si sawa bwana aya waiting for ..... hope ure good
 
Damn it!!alikua na nia ya kukubambikia mimba na watoto hopeful
Mwenzio my marital status is "worried" kila kinachopita mbele nakiogopa
Umenifurahisha kuwa atakua mvumilivu sana kwakua timu yake Asernal haijachukua kikombe kitambo lakini bado anaishangilia

Hahahaha! Marital status "worried" i like that mwekundu! Ila mkuu whats happening? Unajua ni full majanga!
Dah Mentor kafanya nione yaliyonitokea last week madogo!
Mimi nilipelekwa out kabisa for my birthday na kupewa zawadi kibao, only kumfumania with another guy 5 days later!! Hehehe aisee!
 
Mentor aiseee...mbavu yako ipo sehemu, Mungu ni mwema atakusaidia mpaka uipate ndugu
 
Last edited by a moderator:
Story zako waga kiboko lakini umeikatisha ghafla mno eti wodini amejifungua mapacha,any way vipi yule wa Tanga aliyetaka kukuambukiza ngoma! hujaacha hako kamchezo kakupepesa macho eh
 
Aisee...pole jamani..ila Mungu muweza wa yote atakusaidia kukupatia ubavu wako..
 
Ungeimega mega kidogo iendelee jioni ...lol

Ni story nzuri sana ila nikutie moyo kuwa likuepukalo una heri nalo,endelea kumuomba Ebenezer atakupa wa kwako

Ahahah mkuu Ennie, series yangu nitaianza kuipost January 02, 2014 endelea kuingoja itasonga hadi December 31, 2014.

Back to topic: NASHUKURU..and AMEN to that! One day yes...

Mtambuzi njoo utoe marks hapa.

Kabla hajafika mkuu kalou toa wewe maksi zako.

Ooooohps!! Pole sana,,
Story zako huwa nazipenda sana.. Endelea kumtumainia alie juu ipo siku atakupa kilicho bora!

Asante my dia tinna cute. Nimekumisi alafuu...

Pole sana kwa yaliyokutokea.Mimi katika miaka hii siamini kabisa kama unaweza kumpata asiyebadilika.Lakini hukutueleza kama hiyo CVR ulikuwa umekwisha mkabidhi tayari au chali zilikucheza ukabadili mawazo,maana kuna msemo usemao kiendacho kwa mganga utamalizia .......

Hapana mkuu kwa kuwa nilikuwa nangoja pesa zangu kutoka kwenye kazi nyingine ya nje niliyoifanya nilichelewa kufanyia marekebisho gari hivyo mwezi wa Pili (February) nilipogundua kuwa ana mimba na mimi sijawahi kushiriki naye tendo la ndoa (na hakuipata kama mama Maria) nikasitisha mipango yote nikaiuza nikanunua kiwanja Msongola. Sasa natumia gari la ofisi wikend na-roll na washikaji tu.

Stori nzuri napenda sana stori zako...........

mbona amabao hatuwezi kubadilika tupo sana sema unaona kweingine tu LOL

Asante sana Heaven on Earth...

Tatizo nyie msiobadilika hamtutaki sisi tusiobadilika..ni kama vile like poles repel each other!

Mentor aiseee...mbavu yako ipo sehemu, Mungu ni mwema atakusaidia mpaka uipate ndugu

Amina Chujio, nami naamini hivyo!

Story zako waga kiboko lakini umeikatisha ghafla mno eti wodini amejifungua mapacha,any way vipi yule wa Tanga aliyetaka kukuambukiza ngoma! hujaacha hako kamchezo kakupepesa macho eh

Ahaha mkuu mbona kuntonesha kidonda lakini? Tanga nilishamuacha sasa hivi anaugulia magonjwa nyemelezi.

Kamchezo nilikaacha ndiyo maana nilitaka kutulia na huyu.

Chini ya jua hakuna kisichobadilika my Mentor hata we mwenyewe unabadilika leo iweje unasubiri asiyebadilika???:behindsofa::behindsofa::behindsofa:. happy ending 2013

Duh mkuu happiness win, umetumwa na Kongosho nini?

Umesema ukweli but kiopen sana...!
 
Last edited by a moderator:
Mentor jamaniiiiii pole kumbe mwisho ulikuwa mbaya kwako daaaa
 
Back
Top Bottom