Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
heeee mbona nimepitwa!nakukubali sana besti!your stories always rock hun!
Mmh! nashabikia arsenal (ila sina jezi), nimezaliwa march (ila si tarehe tajwa). mrembo katuharibia kweli
hadithi yako inatufundisha kwamba ukiwaambia wanawake hutowagusa mpaka siku ya ndoa, huwa wanaogopa kuuziwa....
Dah hata kama ni hadithi ila imenikumbusha mbalia sana nadhani natakiwa kuwa single hadi Yesu atakaporudi.
mkuu hata mimi hua wananisumbua watu kama hawa wanaoquote post ndeeefu , si vibaya kujibu moja kwa moja maana wote tunaelewa mchango unakua unatoa majibu katika ishu gani
tinna cute mbe..itakuwaje poa ilhali hata pm kutoka kwako sijaipata hadi waleo lakini!??Miss u2 Mentor jamani,, hope xmas ilikuwa poa kwako.
Ni shidaa mbe...Quote ya dada Heaven on Earth hiyo hapo juu..Imenipa mi-hopes...u knw wat i mean:israel:
Kwa kweli...karibu sana
Ila kaka kama vile ulikuwa uko resi sana,hata mwezi hujatimia wee ukadondosha cd ya kutaka kuoa kabisa!!!!!
Pili kuhisi ndie mwenyewe bila kujali mazingira mliyokutana kidogo bado naona haiko sawa,japo hakuna formula ya mazingira.
Mwisho style yako ya kupenda ndio yenyewe,kwa moyo wote.na kwa style hiyo utampata tu ila ukiweza tumia njia ya kumtafuta na usisubiri atokee mitaa yako.
Kila lakheri na pole.
Dah hata kama ni hadithi ila imenikumbusha mbalia sana nadhani natakiwa kuwa single hadi Yesu atakaporudi.
Bado nipo nipo kwanza mkuu Mentor, labda ulikaa mbali sana na huyo mrembo na pasipo mawasiliano pia thus why hata uvumilivu ambao ulizani binti anao na hasa ukizingatia ni Arsenal fans ukapotea. Out of site, out of mind. Maandalizi mema ya mwaka mpya 2014 na series mpya nyingine katika kuondoka katika kuwa bado upo upo sana.
Yaani nimejikuta natabasam haha, hata kama story inasikitisha, pole mwaya, ulivobadilisha hayo mapambio hahaha
Tafta mdada wa Liverpool, sie hatuna hizo issue kama za wadada wa Arsenal
heeee mbona nimepitwa!nakukubali sana besti!your stories always rock hun!
Afadhali Ebenezer amekua kimbilio lako I hope atakuongoza kama ukitaka kuongozwa nae tena yeye ndiye jibu la maswali yako yote .
God is Great At All Times
.....mbuzi kwenye gunia,pia ni tahadhar kua usijaribu kamwe kumuamin wala kumtegemea mwanamke chini ya jua,,atakufanya kitu hujawahi kuona.
Kula like kuuuuubwa!bora kua peke yako mkuu.
Damn it!!alikua na nia ya kukubambikia mimba na watoto hopeful
Mwenzio my marital status is "worried" kila kinachopita mbele nakiogopa
Umenifurahisha kuwa atakua mvumilivu sana kwakua timu yake Asernal haijachukua kikombe kitambo lakini bado anaishangilia
Paloma weeee...ulidhani ni utaniee!Mhhhh......hivi kumbeeee......pole sana Mentor!
Wewe songa mbele huku ukimtumainia Mungu wako!
Mpwa wangu Mentor ngoja kwanza huu mwaka uishe vizuri hapa nilipo nasikilizia hiki kibao cha Abihudi Misholi
Burudika nacho pia
tenda miujiza by mchungaji abiud mishuli - YouTube
Hahahahahahaaaa!
Kaka Mentor niajjeh?
...
Nilipokua napita ktk orodha ya thired zilizopo MMU now, nikakuta hii ya kwako!
So nikajisemea ngoja nikasome thired ndefu! Hahahahahaaaa!
...
Za kuuaga 2013 zinaendaje?