Nimempata Asiyebadilika...

Nimempata Asiyebadilika...

Nyie mnao-quote post ndefu namna hii mnatuumiza tunaotumia simu!

mkuu hata mimi hua wananisumbua watu kama hawa wanaoquote post ndeeefu , si vibaya kujibu moja kwa moja maana wote tunaelewa mchango unakua unatoa majibu katika ishu gani
 
Mentor mwaka huu umepata majanga, umempa mwanamke gari na akapigwa mimba na mtu mwingine?? ulilemba sana lakini.pole sana.
 
Hujakosea mkuu tena umewahi kutoa dukuku ,hata ukitumia desktop still unaharibu radha ni dalili ya ushamba ,hata anachoki quote chenyewe at the end hakieleweki!!
Sijui kwnini wasiwe wana reply?

ni bora kweli mtu atumie reply ila sio reply with quote, kwa sababu comments zote zinaonekana na zinasomeka pia!

inakera ujue!
 
Stori nzuri napenda sana stori zako...........

mbona amabao hatuwezi kubadilika tupo sana sema unaona kweingine tu LOL
Mwili unasisimka.....You made me blush...OMG I didnt expect it.......And i always hate it when something sweet is done unexpectedly:yo:
 
Ila kaka kama vile ulikuwa uko resi sana,hata mwezi hujatimia wee ukadondosha cd ya kutaka kuoa kabisa!!!!!

Pili kuhisi ndie mwenyewe bila kujali mazingira mliyokutana kidogo bado naona haiko sawa,japo hakuna formula ya mazingira.

Mwisho style yako ya kupenda ndio yenyewe,kwa moyo wote.na kwa style hiyo utampata tu ila ukiweza tumia njia ya kumtafuta na usisubiri atokee mitaa yako.

Kila lakheri na pole.
 
Kwa kweli mwenyezi Mungu ndie yeye pekee muaminifu na wala si vinginevyo
 
Lakini sasa Mentor hili tunda mbona limeozea kwa nje,hukuweza kugundua?au ulihisi anaumwa safura that big belly?
 
Tehe tehee, hizo ni ngano tu babe S za huyu Mentor, hakuna ukweli. Ila hadithi zake huwa nzuri.

Dah hata kama ni hadithi ila imenikumbusha mbalia sana nadhani natakiwa kuwa single hadi Yesu atakaporudi.
 
Last edited by a moderator:
Bado nipo nipo kwanza mkuu Mentor, labda ulikaa mbali sana na huyo mrembo na pasipo mawasiliano pia thus why hata uvumilivu ambao ulizani binti anao na hasa ukizingatia ni Arsenal fans ukapotea. Out of site, out of mind. Maandalizi mema ya mwaka mpya 2014 na series mpya nyingine katika kuondoka katika kuwa bado upo upo sana.
 
Last edited by a moderator:
Bado nipo nipo kwanza mkuu Mentor, labda ulikaa mbali sana na huyo mrembo na pasipo mawasiliano pia thus why hata uvumilivu ambao ulizani binti anao na hasa ukizingatia ni Arsenal fans ukapotea. Out of site, out of mind. Maandalizi mema ya mwaka mpya 2014 na series mpya nyingine katika kuondoka katika kuwa bado upo upo sana.
 
Last edited by a moderator:
Yaani nimejikuta natabasam haha, hata kama story inasikitisha, pole mwaya, ulivobadilisha hayo mapambio hahaha
Tafta mdada wa Liverpool, sie hatuna hizo issue kama za wadada wa Arsenal
 
Back
Top Bottom