rafikimkweli
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 349
- 121
Nyie mnao-quote post ndefu namna hii mnatuumiza tunaotumia simu!
mkuu hata mimi hua wananisumbua watu kama hawa wanaoquote post ndeeefu , si vibaya kujibu moja kwa moja maana wote tunaelewa mchango unakua unatoa majibu katika ishu gani