Bado tuko wiki ya ufufuo.... Angalia aya za siku kwenye TMWNi wewe unanicheka kweli? kweli kabisa???!
Amefufuka kweli kweli HALELUYA. Acha kufukua makaburi...
Asiyebadilika ni Yesu tu na si wengineo,huo moyo wako tu unabadilika sembuse binadamu mwenzio. Anyway pole sana kwa mkasa huo
Bado tuko wiki ya ufufuo.... Angalia aya za siku kwenye TMW
Ni wewe unanicheka kweli? kweli kabisa???!..
Kumbe tapeli eeh!!Tapel mentor, hbr yako buana
Shauri yako, utashtakiwa, mie mtani wanguKumbe tapeli eeh!!
Nami nimequote tu. Ila.......Shauri yako, utashtakiwa, mie mtani wangu
Sio wadada wachache bali wengi sana.ni wadada wachache ambao ni warembo wanaojitambua na kujilinda! ukimpata wa hivi unamshukuru Mungu! usikate tamaa bado una nafasi ya kusubiri, huyu inaonekana alikuwa nao wengi na jinsi ya kuwaacha ilikuwa ngumu kwake,
huyu aliekuwa amempata kamsifia sanaa ila mwisho wa siku dada mrembo kam cheat mwenzie ndio maana nimesema ni wachache kwa dunia ya sasa!! ni mtazamo wangu tu, na hayo pia ni mawazo yako dada.Sio wadada wachache bali wengi sana.
Utapambana na afande mentorNami nimequote tu. Ila.......