Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Halafu kama hakutaka kwanini alipiga kavu?JF haiishi vituko ! sasa broda ulitegemea nini... mbegu ya kiume ikikutana na yai kitu na box simple biology
Halafu kama hakutaka kwanini alipiga kavu?JF haiishi vituko ! sasa broda ulitegemea nini... mbegu ya kiume ikikutana na yai kitu na box simple biology
kumbe nimefanya kitendo kibaya sana!kila ananidharau.
Kwanza) .pole sana mdogo wangu kwa yaliyokutokea..
pili) nenda kachek afya yako maana umeshapita kavu kavu..
tatu) usirudie tena kufanya haya uliyofanya,siku hizi mwanaume hasifiwi kwa uhuni..
nne) mchukue huyo binti uliempa mimba mkapime DNA ujue kama hiyo mimba ni ya kwako..kama itakuwa siyo yako hongera sana maana utapata nafuu..na kama itakuwa yako...
tano).kaa chini na mchumba wako umwambie ukweli kuwa ulitembea nje na umempa mimba binti mwingine,mwambie ukweli kuwa humpendi huyo binti na umweleze wazi unampango gani na huyo binti pamoja na mwanao,halafu msikilize atasemaje na atakupa condition zipi kama atakuwa tayari kukusamehe.CHUNGA sana condition atakayokupa mchumba wako isiwe ya kumtupa mwanao,maan utakuwa umempa adhabu mtoto asie na hatia na pia huwezi jua kama MUNGU atakupa mwingine au yapi yatakutokea mbele,vyovyote itakavyokuwa usikubali kutupa mtoto ingawa mama humpendi.
sita).kama mchumba akikubali kukusamehe mwite huyo binti mwenye mimba yako umueleze ukweli mbele ya mchumba wako na mpango ulionao juu ya mtoto,na kama mchumba akigoma kukusamehe basi usimkere maana ndio utakuwa mshahara wa dhambi zako..kaa chini subiri mtoto wako ulee..
nane).sikushauri kabisa kumuo huyo mama mtoto wako wala kuishi nae sababu ya mtoto maana ni afadhali mateso utakayompa kwa kukataa kuishi nae kuliko ukiishi nae halafu ukamtenda ndivyo sivyo.
mwisho).kuwa na msimamo na maisha yako,kubali malipo yanayokuja baada ya makosa uliyofanya,na ujifunze kutokea hapo,SIMAMA mdogo wangu na usonge mbele maana kukosea ni sehemu ya maisha ya mwanadamu...kila la kheri na cheers..
hahaha wewe hukusoma mchezo...demu aking'ang'ania kuja kwako na kukupa mzigo kuwa chonjo. sasa la msingi ni kukubaliana na situation hii. huyo hawezi kukulazimisha umuoe lakini mwana ujiandae kwa vituko.
Kwanza) .pole sana mdogo wangu kwa yaliyokutokea..
pili) nenda kachek afya yako maana umeshapita kavu kavu..
tatu) usirudie tena kufanya haya uliyofanya,siku hizi mwanaume hasifiwi kwa uhuni..
nne) mchukue huyo binti uliempa mimba mkapime DNA ujue kama hiyo mimba ni ya kwako..kama itakuwa siyo yako hongera sana maana utapata nafuu..na kama itakuwa yako...
tano).kaa chini na mchumba wako umwambie ukweli kuwa ulitembea nje na umempa mimba binti mwingine,mwambie ukweli kuwa humpendi huyo binti na umweleze wazi unampango gani na huyo binti pamoja na mwanao,halafu msikilize atasemaje na atakupa condition zipi kama atakuwa tayari kukusamehe.CHUNGA sana condition atakayokupa mchumba wako isiwe ya kumtupa mwanao,maan utakuwa umempa adhabu mtoto asie na hatia na pia huwezi jua kama MUNGU atakupa mwingine au yapi yatakutokea mbele,vyovyote itakavyokuwa usikubali kutupa mtoto ingawa mama humpendi.
sita).kama mchumba akikubali kukusamehe mwite huyo binti mwenye mimba yako umueleze ukweli mbele ya mchumba wako na mpango ulionao juu ya mtoto,na kama mchumba akigoma kukusamehe basi usimkere maana ndio utakuwa mshahara wa dhambi zako..kaa chini subiri mtoto wako ulee..
nane).sikushauri kabisa kumuo huyo mama mtoto wako wala kuishi nae sababu ya mtoto maana ni afadhali mateso utakayompa kwa kukataa kuishi nae kuliko ukiishi nae halafu ukamtenda ndivyo sivyo.
mwisho).kuwa na msimamo na maisha yako,kubali malipo yanayokuja baada ya makosa uliyofanya,na ujifunze kutokea hapo,SIMAMA mdogo wangu na usonge mbele maana kukosea ni sehemu ya maisha ya mwanadamu...kila la kheri na cheers..
endelea kuwekeza si uliona mtaji kajileta mwenyewe ukajifanya kidume cha mbegu sasa unataka kimbia kwanini
Katika maisha kukosea ni kawaida..kwako kosa lako limeenda kuathiri maisha ya kiumbe mwingine...hwezi kurudi nyuma inabidi ufanye maamuzi ili kuweza kusonga mbele...sio lazima umuoe uliyezaa naye,kaa na mchumba wako uwe wazi kuhusu yaliyotokea...mkalishe huyo binti uliyempa ujauzito umweleze hali halisi mkiwa pamoja na ukubali resposibility za malezi...maneno ya kukatisha tamaa ya watu humu yasikuondoe thamani yako km binadamu...hakuna asiyekosea,Kuwa karibu na Mungu wako ili akusaidie kuenenda kwa kufuata misingi ya imani...kila la heri na maisha lazima yaendelee tu...
wewe ni mtu mzuri,umezungumza vema,yaani kibaya zaidi familia yangu ni walokole,najua hapa kinachofuata ni kutengwa kanisani!najuta kutenda haya!eeh Mungu unirehemu.
Jamani nisaidie ushauri,kama hujanielewa kaa kimya!