Nimempa ujauzito mwanamke nisiyempenda!

Pole, ila kama hukua unampenda in the first place na una mchumba ulitembea naye kwa nini? "PLAYER"!! Kilichobaki ni kukubali matokea n fuata moyo wako/fikiria wisely
 
Wakuu maji yamenifika shingoni,mwaka jana mwshoni,nlikutana na binti mmoja,mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo kikuu kimoja dodoma,baada ya siku kadhaa,nikatembea nae,lakini sikuwa na mapenzi kwake,lakini yeye alinipenda sana,akanisumbua kwa muda mrefu,nikaamua kumweleza ukweli kuwa mimi nina mchumba,lakini yeye hakuridhika,siku moja akang'ang'ania kuja kwangu usiku,alipokuja kwa bahati mbaya siku hiyo akashika ujauzito,sasa anawasiliana na mpenzi wangu baada ya kuiba namba kwenye simu,na ameng'ang'ania anataka kuzaa na mimi,kweli sina mapenzi naye na ninamchukia sana kwa haya alotendea,kanitegea mimba akidhani ntamuoa,siwez kumpenda kamwe,jamani nisaidieni kunishauri.
haaaa mbona hiyo simple we mpende mtoto tu mama achana nae lakini kama nawe humpendi mama yake kwa nini ulikubali ku do nae kamtego kadogo tu hako kamekukamata
 
wewe ni mtu mzuri,umezungumza vema,yaani kibaya zaidi familia yangu ni walokole,najua hapa kinachofuata ni kutengwa kanisani!najuta kutenda haya!eeh Mungu unirehemu.

mimi nadhani kuna tofauti kubwa sana kati ya MUNGU,kanisa na waumini..na zote zinataratibu zake.wakati mwingine msamaha wa MUNGU ndio wa muhimu zaidi na hasa pale unapouomba kwa binadamu halafu ukakosekana,kaa ukijua utasamehewa na MUNGU.kuwa muwazi kwa kiongozi wa kanisa lako na ufanye toba ya kweli..naiman atakuwa na mchango mkubwa wa kuzuia kutengwa kwako..ikishindikana kusamehewa wala usichoke unaweza kuhamia kanisa lingine maan niaminivyo kanisa halimpeleki mtu mbinguni ila uamuzi ni wako.ila cha msingi ni kuwa muwazi hata kwa wazazi..tena ungejiwahi kujisemea..kabla hawajayasikia ya mtaan balaa litakuwa kubwa zaidi.
 
Tatizo hapa kun watu wanajifanya watakatifu sana. Hili linaweza kumpata mtu yeyote tu.
 
Pole mwaya, fuata ushauri uliokuwa bora, na wale wanaokukatisha tamaa usiwajali!
 
Asante shantel
ila nimejifunza sana kwa hili,kuwa lolote ufanyalo gizani,siku moja litakuwa mwangani..
Usitishike na maneno ya watu, we jiulize mwenyewe uzito uko wapi, maana kumuoa mtu usiyempenda ni kama kujitia kitanzi mwenyewe utaishi maisha yako yote ukijutia nafsi yako, maisha hayaji mara mbili kwa nn kujitesa? pia unaweza amua kumuoa huyo mjamzito ukajikuta unampenda badae pia for the sake of kid, pima yote na uamue na ubaki na mmoja, shit happen kijana na haya yanatokea sana sana kwa kuwa wote tunaishi chini ya dunia yenye vishawishi
 
Sauti ya mzazi mwenzie mtunza bustani aka gardner.

...my dear child, please sleep
don't cry like that, l am still alive for you.
Your father is a wolf
a hooligan
a rogue
a barbarian...
He ran away from me.
With his small head, child, your father was carried away in a handbag by a woman.

My child please, try to sleep; your father is building a nation
laying his eggs between thighs of wild women.

Child don't ask me where he is
I don't know; it's many years since l saw him.

Sleep, my papa
forget about him completely
he's still somewhere in this country
licking the feet of a woman
calling her, darling
honey
the way he used to call me when we were searching for you.

Your father has no sympathy.
If you were ill
or if you starved to death
that wouldn't worry him at all.
To him, it's all one thing
wheather you were alive or dead.

Child, when you grow up
you'll work for yourself
and I'm quite sure, my dear child
you'll not forget to buy me a blanket.
 
Na madk wamegoma sijui utamtolea chooni
pole sana saana usijaribu hiyo dhambi ukisoma baibo damu inanena utalia hata ukija kuoa mwingine
 
haaaa mbona hiyo simple we mpende mtoto tu mama achana nae lakini kama nawe humpendi mama yake kwa nini ulikubali ku do nae kamtego kadogo tu hako kamekukamata

Halafu mnasema men are strong!

Nawasalute wakaka wakiafrika wanaojuwa how to be responsible. One has to clean his own mess, wakati mnado hukufikiria consequenses zake? Again umesema mtu humpendi mtu how comes unaDO naye tena peku, huku ukiwa na mchumba?

Huna thamani hata kwa huyo mchumba wako!
 
Sauti ya mzazi mwenzie mtunza bustani aka gardner.

...my dear child, please sleep
don't cry like that, l am still alive for you.
Your father is a wolf
a hooligan
a rogue
a barbarian...
He ran away from me.
With his small head, child, your father was carried away in a handbag by a woman.

My child please, try to sleep; your father is building a nation
laying his eggs between thighs of wild women.

Child don't ask me where he is
I don't know; it's many years since l saw him.

Sleep, my papa
forget about him completely
he's still somewhere in this country
licking the feet of a woman
calling her, darling
honey
the way he used to call me when we were searching for you.

Your father has no sympathy.
If you were ill
or if you starved to death
that wouldn't worry him at all.
To him, it's all one thing
wheather you were alive or dead.

Child, when you grow up
you'll work for yourself
and I'm quite sure, my dear child
you'll not forget to buy me a blanket.

I'm soo scared now..
That's what gona happen!
 
I'm soo scared now..
That's what gona happen!

Dude just marry the lady, kama uliweza kusimamisha na kuDo naye peku peku ni wazi unampenda! What if unayempenda hatakupenda back?

Endeleza familia that is the best n wisest way to do! Many marry for so many varying reasons.
 
binti humpendi umekutana nae tu unamgonga peku peku? Inaelekea hata nafsi yako huipendi......
 
We wa wapi,kama humpendi ulimuonyeshaje uchi wako ukamfanya ukeni kwake? Acha ubazaazi
 
Pole sana kaka,nilikua kwenye viatu kama ulivyo vaa.
Naelewa unacho pitia A-Z.

Binadamu hujidai sana kuwa wasafi na kunyooshea wenzao vidole
wakidhani wao ni wasafi sana,....jaribu kujiuliza kwanini unadhani
huwezi kumuona huyo binti?

Jichunguze kabisaaa,kama bado utaona uamuzi wako ni sawa basi ufuate.
Kuzaa na mtu sio tiketi ya kumuoa,ingawa mtoto kulelewa na mzazi mmoja
MARA NYINGINE kuna psychological effect kwa mtoto hasa kama ni mtoto wa kike
akalelewa na mama yake.

Uamuzi utakao uchukua lazima uwe na plan ya muhimu sana kuhusu mtoto wako,ataishi vipi
na mzazi mmoja na asiathirike,ata husiana vipi na familia yako (ya mke mwingine) na vitu kama
hivyo.

Ni ngumu sana,najua kila unacho pitia,maana nilikua hapo na nimeshinda ingawa inabidi
ujiandae kwa vituko toka kwa mama wa huyo mtoto pia,ukijiandaa utaishi kwa amani sana,ila
aki kufanyia vituko kwa surprise utajuta kuzaliwa.

Regards,
Speaker

You are soo right mkuu....mm ninasoma ushauri uliotolewa na baaadhi ya member nikabaki mdomo wazi...ni kama vile wanaopitia humu hawana waa hata moja...kunyosha vidole na kukebehi kwa sana...i have a yiung sister who is very intelligent,beautiful and very well grounded...she fell prey to the same trap...and the baby daddy thought we were tying him with an obligation to marry our sister..lakini ktk hali halisi yule mwanamume is not a husband material...na km familia tulichotaka ni kumshirikishs yule katika malezi ns makuzi ya mtoto ....sasa kwa maoni yangu sio sahihi kuhukunu yeyote kwa sababu aidha kazaa nje ya utaratibu wa ndoa...moment of weakness inaweza ikamkuta yeyote yule...wengine inawaachia na kumbukumbu kabisa ya kudumu ya maisha(unplanned pregnancies)sio nzuri but it is a fact, that shit happens..muhimu na kutambua kosa,kulifanyia kazi na kuendelea na maisha....thats wht my sister and she is doing so fine right now...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom