Bob12
JF-Expert Member
- Feb 27, 2017
- 11,422
- 58,790
NiceAsitoee mimba
NiceAsitoee mimba
Kazi kwel kwelhiyo ndio faida ya kuwaza kwa kutumia makalio...pole sana mkuu...najua hapo umelala ukiamka utapata wazo jipya juu ya uamuzi maalum wa kuufuata.
Mambo vipi?lea kijana acha kukimbia mimba .. mchumba akija endelea na utaratibu na huku ukimuweka wazi kuwa umempa mtu mimba so kuna mtoto
pouwa za kwakoMambo vipi?
Hajui dhamani ya mtotoUlipo sema atoe mimba ndio nika kuona pompompo kabsaa. Yaan atoe mimba kwa kuwa tu we demu wako anarudi mwez wa 6.
Daaah!!
Hata ushauri sitoi sasa kwa hasira
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Pumb..avuu kabisa!kwani ulivyoanza huo upuuz ulikuja kutuomba ushauri?nyie ndo huwa mnarogwa hivi hivi!eti humpend kabisaa!!dada komaa na huyu pimbi mpaka akuoe,we mimba yako ingetolewa ungekuwa hapa?bashite baridi wee!!
Huna shukrani wewe kiumbe. Mungu akikusikiliza akakuchukua ili usipate tabu au hayo mabalaa ya hapa duniani waambie nduguzo wasilie wakuzike kama kafa paka. Maana haujui wala kuthamini uhai wa binadamu. Mimi nakuombea usamehewe tu.Bora hata ningetolewa nisingekuwa napata mabalaa haya ninayoyapata mzee
Niko poapouwa za kwako
wapo wengi tukwa lengo la kuolewa au kupata kitu fulaniNiko poa
hivi ni kweli kuna wanawake wanawategeshea wanaume mimba makusudically?
Kazi kwel kwelwapo wengi tukwa lengo la kuolewa au kupata kitu fulani
Kaka nimeshamwambia ila hataki kabisa kuelewa.mwambie tu kuwa humtaki....
Mi naona sawa tuu ingekuwa ndo bahati yanguWe jamaa muuaji, mimi sina cha kukushauri. Jiulize ulichomfanyia huyo binti ingekuwa baba yako ndo alimfanyia mama yako ingekuwaje
mlazimishe aelewe.....Kaka nimeshamwambia ila hataki kabisa kuelewa.
Ingekuwa si mimba ingekuwa afadhari ila amekuwa hataki kunielewa kabisa sababu ana hiyo mimbaml
mlazimishe aelewe.....