h120
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,545
- 3,370
Or is it the same faith under another name?Tumaini langu ni lipi sasa na huyu dada kaning'ang'ania kama kupe!
Or is it the same faith under another name?Tumaini langu ni lipi sasa na huyu dada kaning'ang'ania kama kupe!
Dugu moja na HR666Hadithi ya kutunga halafu inaboa kinoma.
Aiseee! Huyu dogo ni msumbufu sana.Dugu moja na HR666
Astaghfil'llah X100Bora hata ningetolewa nisingekuwa napata mabalaa haya ninayoyapata mzee
Mtafutie gunia la ndimu na Tenga la maembe mpe uachane nae.Bora hata ningetolewa nisingekuwa napata mabalaa haya ninayoyapata mzee
KivipiWe huyo dada malizana nae tu
Umeona ehh, mara mchumba mara mkeHadithi ya kutunga halafu inaboa kinoma.
Dada unanitisha[emoji17]Mdada ameona opportunity kaitumia, kama movie ya nigeria...na huwa haziishi vizuri muvi hizi:
1. Mwanaume analaniwa na msichana wa kwanza baada ya kumuweka kwenye expectations na betrayals.
2. Unaamua kuoa huyo mwenye mimba kisha maisha yako yote hayana raha unaanza kuchepuka
3. Ndoa inawashinda nyote mnabaki miserable watoto wanahangaika.
Kama huna haja na mwanamke tumia Condom. Sijaona mahala ukisema mkaenda kupima ukamwambia ale dawa mgegedane. Huu mchezo wa kulishana dawa kabla hamjazaa mnasababisha wasichana wengi siku hizi washindwe kupata watoto.
Be careful.. anza kutafuta jinsi ya kueleza msichana wa kwanza muachane kwa amani or ealse hutakuwa na raha maishani kabisa...