Nimempa mimba dada fulani najuta kuzaliwa!

Nimempa mimba dada fulani najuta kuzaliwa!

HAMA NYUMBA UNAYOKA HAMIA MBALI NA HAPO KABISA PIA USIMWAMBIE KAMA UNAHAMA MBADILISHI NAMBA YAKE YA CM PIA
 
Dah pole Sana, kwel waschna wengi wanauchu wa kuolewa,sa wew unamwambia kabsa kuwa ctakuoa,lazma alijiongeza kukukomesha,sasa hpo kwakuwa kakufanyia kusud,we mwambie ukwel huyo mchumba wko
 
Akili za wanaume! Wengine mnamshauri amkimbie sijui ahame nyumba. Baadae binti wa watu akijifingua akalea mtoto akakua mnarudi kudai mtoto! Mburulaz sana nyie! Mwanaume kamili haachi damu yake nyuma. Fanya vyovyote utakavyofanya sio lazima umuoe huyo dada lakini usiache damu yako nyuma. Ni dhambi itakayokusumbua maisha yako yote! You will never be happy!
 
Ila wanawake nao wanaboa kisa cha kutoko fuata maneno ya jamaa nini kutafutiana kero tu,, wanawake wanaboa
 
We kweli Ni Bureee kabisa, Km ingekua ni kipinDi cha njaa!! Nawapatia watu WW walau wanipe hata Gunia la Mtama tu...
 
Mleta mada ww ni Pimbi mkubwa bad enough ni pimbi halaf hujajitambua kuwa ni pimbi..yaan ww uko radhi kuua kiumbe kwasabab ya manzi ambae ata hujui anafanya nini uko aliko..huna akili ww..take responsibility for yo action mzee..unataka nani akulele uyo mtt wakat tunda ulikula ww
 
Pole sana jombaaa
1) kondom mia tano tu pole
2) tamaa imekuponza pole
3) naomba asiitoe hyo mimba pole
4)uaminifu miaka mitano tu umekushinda na ulishakata miwili kwel pole sana
5)hukusema hata mlipima we eti kwa kujisifia ulimgegeda kwa kiwango cha juu daaah mwanaume hasifiagi kugegeda ila mwanamke ndio wanatusifiaga wenyewe

6)Sasa unaomba ushauri je upo tayar kuua kiumbe kwa tamaa zako za muda mfupi??

7)Mwambie huyu alieko nje kua ulimgegeda demu mwngine kwa kiwang cha juu bila kondom na akapata mimba

8)wasio waaminifu ktk mahusiano hua hawawez kuvumilia,sasa angalia ulivyoumbuka mtoto wa watu,uso umekushukaa pwaaa,hata kula unakula kwa tabu tu,mawazo yamekujaa,huna raha,uanaume wako umeporomoka mpka unakimbilia jf kuomba msaada,,,leo unataka atoe mimba kwan unaibeba wewe??

Kwa vile ulionyesha ukidume wa kugegeda kwa kiwango cha juu,sasa tumia akili ya kiwango cha juu kuumaliza huo msala wako,,si tupo busy tunasikiliza nyimbo ya ney wa mitego
 
lea kijana acha kukimbia mimba .. mchumba akija endelea na utaratibu na huku ukimuweka wazi kuwa umempa mtu mimba so kuna mtoto
 
Back
Top Bottom