Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,068
Naona watu wanajibu kwa kukebehi na matusi wakati wengine ni kama wahusika.
Kuna wanaume wengi humu tuliozaa na wadada kwa staili hii.
Mkeo au mchumba anakuwa mbali unajiegesha mahali na mimba napata.
Kuna wadada wengi wamezalishwa kwa mfumo huu wa kumshikia mtu penzi ambaye yuko mbali.
Wamepata mimba na wengine ni single mazä.
kuna wengine wameoana Baada ya mimba za mfumo huu kutokea. Hili nina ushahidi nalo.
Watu tuache unafiki na kujifanya watakatifu wakati ni watakavitu!!!
Dogo, huyo mwanamke unahitaji kuongea naye na kumuahidi kumtunza na mtoto wake.
Mchumba wako akija Una nafasi ya kumueleza ukweli.
Vinginevyo, oa huyo mwenye mimba.
iliponitokea nilimpa black and white kuwa sikuoi na ukinizingua nakupotezea wewe na mwanao.
Mpaka leo ana heshima kwani I fund for everything mtoto anahitaji
Kuna wanaume wengi humu tuliozaa na wadada kwa staili hii.
Mkeo au mchumba anakuwa mbali unajiegesha mahali na mimba napata.
Kuna wadada wengi wamezalishwa kwa mfumo huu wa kumshikia mtu penzi ambaye yuko mbali.
Wamepata mimba na wengine ni single mazä.
kuna wengine wameoana Baada ya mimba za mfumo huu kutokea. Hili nina ushahidi nalo.
Watu tuache unafiki na kujifanya watakatifu wakati ni watakavitu!!!
Dogo, huyo mwanamke unahitaji kuongea naye na kumuahidi kumtunza na mtoto wake.
Mchumba wako akija Una nafasi ya kumueleza ukweli.
Vinginevyo, oa huyo mwenye mimba.
iliponitokea nilimpa black and white kuwa sikuoi na ukinizingua nakupotezea wewe na mwanao.
Mpaka leo ana heshima kwani I fund for everything mtoto anahitaji