Nimemnunulia mke wa mtu zawadi ya chupi,kazipokea

Nimemnunulia mke wa mtu zawadi ya chupi,kazipokea

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,460
Reaction score
4,166
Kila nikitoka home nikirudi,huyu mke wa mpangaji mwenzangu ananiomba zawadi.

Nikasema ngoja nimtege kidogo,jioni hii nimepita duka flani la nguo za kike nikanunua chupi za kike kama 3 hivi ,nimefika tu home naingia getini nashangaa mtu ananiulizia zawadi zake,nimetoa mfuko nikampa

Nikamwambia akazifungulie ndani.hapa kanitext kaniambia anashukuru kwa zawadi amezipenda.
 
Back
Top Bottom