Nimemkuta na tattoo

Nimemkuta na tattoo

Khaaaaah!! Kwahiyo yuko chakari ukamwambia "baby subiri kwanza niombe ushauri jf kuhusu hizi tatoo"
 
Huyu n modo kdgo karefu wastan,ananyoa amebarikiwa kimtindo Makalio
Bwana hakuna ushauri wa maana utaupata hapa. Mimi binafsi naona utumie busara zako ulizopewa na muumba wako. Kama kaweka tu tattoo na unaona ni mwenye tabia nzuri wewe ndiye mjuaji. Kama amesema hajachepuka na mkweli siku zote wewe ndiye muamuaji. Ukisikia ya watu watakuchanganya
 
Japo me and my girl hatuna tattoo wala wazo la kua nayo still bado sioni tatizo kama mtu kaamua kuiweka unajua sasa hivi ndio fashooon world wide sasa wengine huchora kwa kuiga na wengine huchora kwa maana zao, sidhani kama ni busara kujadili hilo, wewe muulize huyo GF sababu iliyomfanya akaichora na kwann achague nyota na sio kitu kingine, pia mwambie kua hupendezwi nazo asichore tena, just friendly convos.

BTW, Picha mbona hujaituma wote tukajiridhisha?
lol.
Sijaelewa hapo "Japo me and my girl "
 
Kuna demu nilimkula ana tattoo ya nyota kalioni ya kwanza kuwa zinapungua ukubwa mpk ya mwisho ni ndogo nahisi kama ndio huyu anayeongelewa hapa
 
Umemkuta na tatoo, kha! Siku nyingine bora ungeomba ushauri "jinsi ya kuifuta hiyo tatoo" ningekuelewa.
 
Sasa unachora tatuuuu makalioni aione nani? Mimi namjua mbabu mmoja mtaalamu wa tatuu akishamkula demu anamuweka tatuu ya nyota tano katika kalio moja.. Mkiwa maskani ukibisha hajamla anakwbia kama nawe umepita je hana tatuu ya nyota tano kalioni?
 
Sasa unachora tatuuuu makalioni aione nani? Mimi namjua mbabu mmoja mtaalamu wa tatuu akishamkula demu anamuweka tatuu ya nyota tano katika kalio moja.. Mkiwa maskani ukibisha hajamla anakwbia kama nawe umepita je hana tatuu ya nyota tano kalioni?
Duh! Mkuu huyo babu n wawap?
 
We ndio mwenye maamuzi wa kuifuta au kutoifuta,akikataa we endelea kuchapa tu lakini asiwe mke
 
Piga chini hiyo takataka!

Kula tani yako halafu itupe kushoto!

Kua na tattoo inaonesha ana very bad sense of judgement na kuna mengine mabovu zaidi ambayo hayana alama!

Oh sijui tattoo haina shida sijui nini sijui yara yara yara....fvck that nonsense!

Hahaaa...sijui yara yara yara...umenena vyema Chifu
 
Wewe kama umemuelewa oa. Mwanamke yeyote ukimkuta hana bikra ujue keshatumika. Ukimuacha huyo, labda upate mwenye bikra.
 
Chukua msasa msugue ifutike Kama hupendi ili life liendelee, Kuna issue zingine sio za kuomba ushauri na sasa ni saa nane na dak



Mwenzie kashasema anaipenda tatoo, atatitoa kwani ipo kwenye mwili wake? Udikteta ukianza mapema namna hii, huyo mke amemkosa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom