Nimemuuliza kwann Achore tena katika Tako, ananijibu Kapenda tuJapo me and my girl hatuna tattoo wala wazo la kua nayo still bado sioni tatizo kama mtu kaamua kuiweka unajua sasa hivi ndio fashooon world wide sasa wengine huchora kwa kuiga na wengine huchora kwa maana zao, sidhani kama ni busara kujadili hilo, wewe muulize huyo GF sababu iliyomfanya akaichora na kwann achague nyota na sio kitu kingine, pia mwambie kua hupendezwi nazo asichore tena, just friendly convos.
BTW, Picha mbona hujaituma wote tukajiridhisha?
lol.
hiyo picha vipi mkuuNimemuuliza kwann Achore tena katika Tako, ananijibu Kapenda tu
Piga chini hiyo takataka!Habari wana JF,
Huyu ni Msichana niliemuhangaikia muda mrefu sana kwa dhumuni aje kuwa wife. Akaja nielewa akawa anafika home kama kawaida story moja mbili tatu namsindikiza kwao huku pasipo hata mtekenya japo toto Mashallah chuchu "M"
Nyuma kajaaliwa aisee ila nikawa najipa moyo huyu ni wangu tu hakuna haraka.
Kilichonifanya nije hapa Jf Wandugu ni hapa niko nae sahii yupo chakali tayari ila kilichonistua huyu msichana ana tattoo katika kalio moja ya Nyota nyota Tano.
Kutokana na muonekano wake,mienendo yake na life style ya kwao full church na hiki nilichokikuta hapa naomba msaada wandugu wale wajuzi kwa lolote juu ya hizi tattoo katika tako na malengo niliyotanguliza hapo mwanzo ya kuwa nilimfuata awe wife.
Nimemuuliza ilikuwaje hivi ananijibu anapenda tu.
Mbane akueleze vizuri! Yani mtishie kuvunja mahusiano asipoeleza chanzo cha kufanya uchafu huo!Nimemuuliza kwann Achore tena katika Tako, ananijibu Kapenda tu
Pamoja kiongozPiga chini hiyo takataka!
Kula tani yako halafu itupe kushoto!
Kua na tattoo inaonesha ana very bad sense of judgement na kuna mengine mabovu zaidi ambayo hayana alama!
Oh sijui tattoo haina shida sijui nini sijui yara yara yara....fvck that nonsense!
Umemwambia afute akakataa?Itasaidia ili ndgu kama ameshanitamkia Anapenda?
Kuna wakati binadamu tunalazimisha wenzetu wawe malaika!!!!!!!Habari wana JF,
Huyu ni Msichana niliemuhangaikia muda mrefu sana kwa dhumuni aje kuwa wife. Akaja nielewa akawa anafika home kama kawaida story moja mbili tatu namsindikiza kwao huku pasipo hata mtekenya japo toto Mashallah chuchu "M"
Nyuma kajaaliwa aisee ila nikawa najipa moyo huyu ni wangu tu hakuna haraka.
Kilichonifanya nije hapa Jf Wandugu ni hapa niko nae sahii yupo chakali tayari ila kilichonistua huyu msichana ana tattoo katika kalio moja ya Nyota nyota Tano.
Kutokana na muonekano wake,mienendo yake na life style ya kwao full church na hiki nilichokikuta hapa naomba msaada wandugu wale wajuzi kwa lolote juu ya hizi tattoo katika tako na malengo niliyotanguliza hapo mwanzo ya kuwa nilimfuata awe wife.
Nimemuuliza ilikuwaje hivi ananijibu anapenda tu.
Mkuu huenda alizaliwa nayoHabari wana JF,
Huyu ni Msichana niliemuhangaikia muda mrefu sana kwa dhumuni aje kuwa wife. Akaja nielewa akawa anafika home kama kawaida story moja mbili tatu namsindikiza kwao huku pasipo hata mtekenya japo toto Mashallah chuchu "M"
Nyuma kajaaliwa aisee ila nikawa najipa moyo huyu ni wangu tu hakuna haraka.
Kilichonifanya nije hapa Jf Wandugu ni hapa niko nae sahii yupo chakali tayari ila kilichonistua huyu msichana ana tattoo katika kalio moja ya Nyota nyota Tano.
Kutokana na muonekano wake,mienendo yake na life style ya kwao full church na hiki nilichokikuta hapa naomba msaada wandugu wale wajuzi kwa lolote juu ya hizi tattoo katika tako na malengo niliyotanguliza hapo mwanzo ya kuwa nilimfuata awe wife.
Nimemuuliza ilikuwaje hivi ananijibu anapenda tu.