kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,976
- 7,299
Tumia CondomHabari wana JF,
Huyu ni Msichana niliemuhangaikia muda mrefu sana kwa dhumuni aje kuwa wife. Akaja nielewa akawa anafika home kama kawaida story moja mbili tatu namsindikiza kwao huku pasipo hata mtekenya japo toto Mashallah chuchu "M"
Nyuma kajaaliwa aisee ila nikawa najipa moyo huyu ni wangu tu hakuna haraka.
Kilichonifanya nije hapa Jf Wandugu ni hapa niko nae sahii yupo chakali tayari ila kilichonistua huyu msichana ana tattoo katika kalio moja ya Nyota nyota Tano.
Kutokana na muonekano wake,mienendo yake na life style ya kwao full church na hiki nilichokikuta hapa naomba msaada wandugu wale wajuzi kwa lolote juu ya hizi tattoo katika tako na malengo niliyotanguliza hapo mwanzo ya kuwa nilimfuata awe wife.
Nimemuuliza ilikuwaje hivi ananijibu anapenda tu.
