Nimemkuta na tattoo

Nimemkuta na tattoo

Mwezi mmoja uliopita nlikuta mchepuko kachora tatoo chini ya mgongo karibu na mstari wa tako,nkafanya yangu na kupiga chini Sikh hiyohiyo
 
Pole sana...

Umekuta tattoo tu kwenye kalio unajawa na mawazo... je ungekuta ana kipini kwenye nyuchi...



Cc: mahondaw
 
Mkuu Tatoo ina tatizo gani mtu kuwa nayo? Maana sioninkama ni kitu kibaya ni michoro kama michoro mingine tu huwezi badili matamanio ya mtu. Na sio wote wenye tatoo wanakuwa na tabia mbaya maana sion uhusiano wa tatoo na tabia za ajabu japo mimi sija hata moja.
 
Mnagegedana mmewasha taaaaa ungekua umezima yote ayo usingeyaona mkuu.,pole endelea kula tunda
Habari wana JF,

Huyu ni Msichana niliemuhangaikia muda mrefu sana kwa dhumuni aje kuwa wife. Akaja nielewa akawa anafika home kama kawaida story moja mbili tatu namsindikiza kwao huku pasipo hata mtekenya japo toto Mashallah chuchu "M"

Nyuma kajaaliwa aisee ila nikawa najipa moyo huyu ni wangu tu hakuna haraka.

Kilichonifanya nije hapa Jf Wandugu ni hapa niko nae sahii yupo chakali tayari ila kilichonistua huyu msichana ana tattoo katika kalio moja ya Nyota nyota Tano.

Kutokana na muonekano wake,mienendo yake na life style ya kwao full church na hiki nilichokikuta hapa naomba msaada wandugu wale wajuzi kwa lolote juu ya hizi tattoo katika tako na malengo niliyotanguliza hapo mwanzo ya kuwa nilimfuata awe wife.

Nimemuuliza ilikuwaje hivi ananijibu anapenda tu.
 
Kula papuchi huku uliendelea kutafuta demu mwingine
Habari wana JF,

Huyu ni Msichana niliemuhangaikia muda mrefu sana kwa dhumuni aje kuwa wife. Akaja nielewa akawa anafika home kama kawaida story moja mbili tatu namsindikiza kwao huku pasipo hata mtekenya japo toto Mashallah chuchu "M"

Nyuma kajaaliwa aisee ila nikawa najipa moyo huyu ni wangu tu hakuna haraka.

Kilichonifanya nije hapa Jf Wandugu ni hapa niko nae sahii yupo chakali tayari ila kilichonistua huyu msichana ana tattoo katika kalio moja ya Nyota nyota Tano.

Kutokana na muonekano wake,mienendo yake na life style ya kwao full church na hiki nilichokikuta hapa naomba msaada wandugu wale wajuzi kwa lolote juu ya hizi tattoo katika tako na malengo niliyotanguliza hapo mwanzo ya kuwa nilimfuata awe wife.

Nimemuuliza ilikuwaje hivi ananijibu anapenda tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom