Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,495
- 21,439
Upo kwenye research auWewe ni ke Au me?!
Upo kwenye research auWewe ni ke Au me?!
Jibu swali. Wewe ni ke Au me?Upo kwenye research au
Unahisi jibu langu linaweza kukuongezea mshahara?Ji
Jibu swali. Wewe ni ke Au me?
Acha kukompliketisha maishaNatafakari yule aliemchora na kwanin katika Tako?
Jibu swaliUnahisi jibu langu linaweza kukuongezea mshahara?
Sijambo mimi jamani, sijakusoma siku nyingiNakusalimia pia jamani Sakayo.
Nipo jamani, labda tunapishana si unajua jf ilivyo na vyumba vingi.Sijambo mimi jamani, sijakusoma siku nyingi
Ni kweli dear!Nipo jamani, labda tunapishana si unajua jf ilivyo na vyumba vingi.
Me pia darlin.Ni kweli dear!
La mno uzima tuu, mefurahi kukuona!
Habari wana JF,
Huyu ni Msichana niliemuhangaikia muda mrefu sana kwa dhumuni aje kuwa wife. Akaja nielewa akawa anafika home kama kawaida story moja mbili tatu namsindikiza kwao huku pasipo hata mtekenya japo toto Mashallah chuchu "M"
Nyuma kajaaliwa aisee ila nikawa najipa moyo huyu ni wangu tu hakuna haraka.
Kilichonifanya nije hapa Jf Wandugu ni hapa niko nae sahii yupo chakali tayari ila kilichonistua huyu msichana ana tattoo katika kalio moja ya Nyota nyota Tano.
Kutokana na muonekano wake,mienendo yake na life style ya kwao full church na hiki nilichokikuta hapa naomba msaada wandugu wale wajuzi kwa lolote juu ya hizi tattoo katika tako na malengo niliyotanguliza hapo mwanzo ya kuwa nilimfuata awe wife.
Nimemuuliza ilikuwaje hivi ananijibu anapenda tu.
Habari wana JF,
Huyu ni Msichana niliemuhangaikia muda mrefu sana kwa dhumuni aje kuwa wife. Akaja nielewa akawa anafika home kama kawaida story moja mbili tatu namsindikiza kwao huku pasipo hata mtekenya japo toto Mashallah chuchu "M"
Nyuma kajaaliwa aisee ila nikawa najipa moyo huyu ni wangu tu hakuna haraka.
Kilichonifanya nije hapa Jf Wandugu ni hapa niko nae sahii yupo chakali tayari ila kilichonistua huyu msichana ana tattoo katika kalio moja ya Nyota nyota Tano.
Kutokana na muonekano wake,mienendo yake na life style ya kwao full church na hiki nilichokikuta hapa naomba msaada wandugu wale wajuzi kwa lolote juu ya hizi tattoo katika tako na malengo niliyotanguliza hapo mwanzo ya kuwa nilimfuata awe wife.
Nimemuuliza ilikuwaje hivi ananijibu anapenda tu.