Mkuu umeiona pm yangu...[emoji69] [emoji69]Mwendee Handeni Kwamsisi, yule mzee pale atamkoroga akili akuletee x 2, dawa ni hiyo
Kama unatosha naenda mchukulia rb au kumuexpose Instagram watu wamjue. Nimechoka[/QUOTE
Kwahiyo boss unataka kumpeleka kwa Mange Kimambi?
Acha maamuzi simple kwenye hela kiasi hicho boss.
Comrade....Pole sana ukiona manyoya jua kaliwa ungekuwa umeandikishana ungemshtaki siku zote watu tuwaaminio ndo matapeli wakubwa.
Sijui kama ni member ila nahitaji msaada wa nini cha kufanya maana anaonekana hana mpango wa kutoa hiyo hela.Kwani nayeye ni member wa humu..!?
Ama unataka tukusaidie kwa mchango ili ukalipe deni...!?
Au ndio yule alie msomesha huyu member mwenzetu na jamaa akamkopesha na sasa hataki kumlipa ilhali tunamuon humu na anachangia kama kawaida...!?
Bora laki 2. Yangu ni ndefu eti, nikikumbuka nilivyohangaika kumpatia hiyo hela na anavyofanya sasa hiv nachanganyikiwa...We are sailing in the same boat! kuna rafik angu kabsaaa alkuja nikamkopesha 200,000/- alisema angenirudishia kesho sas iyo kesho ni mwez saiz na amekaa kimya tu. Yaan nafikiria cjui nimfanye nin
Fanya kutafuta watu wenye busara wawakutanishe na hicho kiumbe waongee nacho.Babe hatukuandikishiana popote wala hakuna bond yoyote. Mi nina shida moja ya kuamini mtu.
Nae alishampiga mtu hela?
Wanga mnajulikana tu! Huyo mzee mwenyewe atataka ela sasa si bora apunguze deniMwendee Handeni Kwamsisi, yule mzee pale atamkoroga akili akuletee x 2, dawa ni hiyo