Nimemfuma msichana wangu na mwalimu wa chuo

Nimemfuma msichana wangu na mwalimu wa chuo

Mmefunga ndoa? kama hamjafunga wote ni wezi tu!
 
Nunua dumu la petrol,liweke chini ya kitanda.mwite demu aje gheto mgegede then funga mlango mjilipue mfe wote..hapo mtakuwa mmemkomoa Huyo ticha wake wa chuo coz nyie mtakuwa mekufa so atamkosa demu
nawaza sana ingekuwa ni wewe umejibiwa hivi ungefili vipi etii?
 
Dogo yuko bize na issue za NACTE, hapatikani kwa sasa. Ukiona comment yake ujue anatoa ushauri jinsi ya kujaza form, kuomba mkopo. Nahisi Mama Ndalichako kampa kitengo.


Sitaki ushambenga!
 
kwenye jambo ili fuata moyo wako unavyokuelekeza ili jambo tukishauri tutakuvuruga tu maana wewe ndie mhusika mkuu. Ila binafsi nisingemwacha huyo binti maana binadamu tumeumbwa kusamehe watu wanagongewa wake sembuse huyo hata huna mkataba nae wa kimaandishi
 
nilisha mgegegeda mara nne, kwa taharifa yako, we unadhani anaweza kukuambia ukweli, kwa taharifa yako huyo dem si anakidoti karibu na ile kitu? kidoti cheusi hivi na ukitaka siku ya kugegedan afurai si huwa anapenda mkiwa faragha ukipepese? ndhani utakuwa umenielewa!
 
Jamaa yangu ww ni mtumwa wa mapenzi pole sanaa ..... ila ipo siku utakua huru tu na drama zote za hawa mabinti utaona poa
 
Kumtakia maisha mema ni maamuzi tosha. Demu bado unampenda na hapa unataka faraja kuwa umsamehe lakini jiulize swali moja tu, kama alikuwa na nia njema na uhusiano wenu kwanini asikushirikishe matatizo yake na huyo mwalimu at least mshauriane. Je kama usingejua kuwa alikuwa beach unadhani safari ilikuwa inaelekea wapi baada ya hapo baina yake na teacher kama sio kwenda kubanjuana? Mpaka kukubali kwake kuwasiliana na huyo mwalimu tayari kumeonyesha udhaifu wake na usaliti kwako, safari hii umepata kuhisi, ukafuatilia kupelekea kumkamata unadhani mkirudiana atakuwa mzembe tena umshike mara ya pili? Wanawake wengi kijana na Mungu hutuepusha na mabalaa kwa njia tofauti tofauti pasi wenyewe kujuwa, maumivu yako ya sasa ni bora kuliko machungu ya ndani ya ndoa pale atakapokusaliti akiwa mkeo.
Hapa sisi ni mashawishi tu kujifanya wajuaji, mjua ukweli ni wewe.
Ushauri wa ukweli kbs
Ulioenda shule
 
Naomba namba yake Mkuu.

Lengo langu ni kumshauri tu ili muendelee na uhusiano wenu Mkuu.

Pia ushauri wangu ni mzuri sana hatarudia hiyo tabia ya kudanganya.

Mwisho, utakuwa una mkono wa birika sio bure Mkuu au unakula chips yai kwa wingi!
 
Back
Top Bottom