Nimemfuma msichana wangu na mwalimu wa chuo

Nimemfuma msichana wangu na mwalimu wa chuo

Kwanza mmeanzeje kumpiga ticha wa watu kwani ni mkeo huyo kwanza utakuta hujui kutumia papuchi ya mtoto wa watu richer anakusaidi unajifanya mjuaji
 
Hahahahahahaha wakikumegea demu wako nawe tafuta mnyonge ummegeee
 
Ni sababu ya kulazimishwa Muda mrefu na pia aliona alinde shule yake. Akaamua kujilipua kumbuka rafiki yako alisema kuwa amemkatalia Muda mrefu sana.. Mwalim akaanza kutumia nafasi yake ili amkomoe.. Watoto wa kike wana mitihani iwe wanataka kazi... Promotion nk.. Bint alipaswa akushirikishe ili ujue la kufanya.. Kaaeni mzungunguze ili muyamalize. Ninaamini hata huko aliko mwalimu anajua kuwa huo ni mtego umewekwa na huyo bint.. Iweje siku ya kwanza halafu uwatokee na group... Msamehe hakuna binadamu aliemkamilifu alichonifurahisha ni pale alipokuona akanyanyuka na kukufata... Mwingine angezidisha mbwembwe na dharau ungeumia sana... Msamehe
 
Back
Top Bottom