pole na hongeraWamama wengi huwa wanatatizo hilo mamangu pia ni mmoja wao kanilea kigaidi na vitendo vingi ambavyo mtoto hastahili kutendewa na mamake alafu mbaya zaidi nafanana nae kila kitu mpaka majirani wanakua wanauliza huyu ni mamake kweli Ila tunavyofanana wanaishiwa pozi Ila nikaja gundua shida au chanzo cha yote ni kutokana na mahusiano mabaya wanayokua nayo na mababa zetu yani unakuta mama akiniangalia namkumbusha baba anajikuta kanichukia Mimi kupita kiasi
But still I love my mum pamoja na mabaya yote aliyonifanyia she is still my mother
Asantepole na hongera
Haaa haaaa mkuu umenichekeshaComment kama hizi muwe mnakaa nazo mioyoni.
inauma sanaStory yako inafanana na jirani yetu, yule Dada kaolewa akiwa na mtoto wake tayari WA kama miaka 4 ivi,na kwa mume pia akakuta watoto wawili halafu wakazaa mtoto Mika, Anawapenda watoto wa mumewe kale katoto kake hatak hata amsogelee, akifanya kosa lolote japo ni mtoto atachezea vibao. Hadi mtoto ashind nyumban muda wote anaenda kucheza mbali na nyumbani
sababu ya ajabu hii eti kwa vile ni mama yake avumilie tu! bora umnyime mwanadamu chochote lakini si upendoPole sana.
Kwa vile ni mama yako basi huna budi kumwelewa, kumvumilia, na kumkubali tu kama alivyo.
Mama ambaye hana mapenzi na mwanae wa kazi gani? Siwezi kumuheshimu wacha nikose hiyo heri .Mama ni mama tu, mpende mama muheshimu mama upate heri na miaka mingi duniani