Asante sana..nshaacha zamani kumtegemea mama sema naishi kwake natafuta kazi kimyakimya natafta nauli naenda kwenye interview kimyakimya..Mungu atasaidiaPole dada,ndo changamoto za maisha hizo afadhali wewe hata mama yako kakusomesha kama mimi sijawahi onja ile raha ya kuwa na mama na nilipofikisha miaka 7 sijawahi ishi nae tena mpaka leo.......mi naona kinachomsumbua mama yako ni uoga wa kuonekana anakujali wewe zaidi kuliko wadogo zako wa hao baba yako mdogo na anadhani itakuwa ugomvi sababu hata wanaume pia baadhi tuna gubu kama wanawake ukiona mwanao hapendwi sana unakuwa ugomvi hasa kwa mke ambae umemwoa tayari ana mtoto/au wote mmeoana mkiwa na watoto,kingine anaona kama unamzibia nafasi sababu ushakuwa mkubwa na anatamani uondoke ili afurahie kikubwa kwako ni omba upate ajira ili utoke hapo kwake au ukipata fursa yoyote jitahidi uifanye upate pa kuanzia kwa umri ulonao hupaswi kujilizaliza kama bado mtoto,tambua kuwa unaweza fanya kitu pasipo kumtegemea mama yako kila kitu....ukiendelea kulialia unakaribisha vidonda vya tumbo bure huku mama yako akiishi maisha safi
hapana..mama mdgo hajawah kuzaa she had sickle cells.alikua akipata hela kdgo alikua ananipa na kunisii nisome kwa bidii.alikua hana kazi alimtegemea mama pia na alikufa mdgo tu akiwa na 25years.This makes me cryKwa sababu tayar u have been living with this kwa muda mrefu na tayar umeshamjua alivyo bas huna haja ya kuweka chuki endlea kuish kama amabavyo anataka yeye soon utaanza kuish maisha yako na utaondokana na hzo kero.
Ila mbna kama mama mdogo ndio mzaz wako ila wamekuficha tu juu ya hilo
Asante.sijawahi kumwacha Mungu.mkuu mimi hata kuwa na marafki wakaribu sana naona shida nahc kutopendwa kama mama hanipendi atanipenda nani?Kiukweli inauma sana na kama kunakidonda kinacholeta maumivu moyoni basis ni hiki....kupoteza au kutokupata penzi la wazazi...daima tunaamini mama au Baba ndio wenye mpnz ya dhati... Wao mapnz yao ni kama titi lilojaa utamu ambao huupati kwenye maziwa asali wala choculate au sehemu nyingine yoyote ileee....ni pnz hili linalofanya hata kama umezaliwa kwenye familia maskini kama Mimi uridhie hali ilee au ulale na njaaa utaona kawaida kabisa....kwasababu pnz LA dhati, adhimu na adimu umelikumbatia na kuliishi moyoni mwako!!!... Nakushauri njia pekeee ya kuondonakana na hali ya upweke ni kutafuta marafiki kama sio mitaani basi rudi kwenye dinii yako. Angalau utapata MTU ambaye utashare Naye maumivu haya yootee kwasababu kunaathari kubwa mno ya kuwa na mawazo mfululizo. Kwako na kwa kizazi chako. Kuwa makini sana juu ya hilo sii jambo LA kawaida kabisa. Mungu akusaidie upite salama kwenye bonde hili ngumu na lenye mtihani... Ubarikiwe.
asanteHapana Dunia haipo hv ngoja nikwambie kitu.. Kila jaribu au ugumu unalopitia Mungu amekuwekea MTU Wa kukusaidia au amekuwekea aina flani ya masaada utakaokufariji me naumia coz nilihawi kupita huko lkn mpka sasa ninafuraha kupitiliza... Jaribu kujitenga na upweke jisogeze jaribu na jamiii hakika ndani yako hakutakuwa na upweke tena kama ulivyoo... Kumbuka athari zitakazokukumba wakati ukiwa mpweke ni kumbwa maishani mwako....
Pole sana, stori yako imeniuma sana, kuwa na uvumilivu na umtegemee mungu, jaribu kuwa Mtu wa Maombi, Maombi yana nguvu sana, Muombee mama yako kila unapopata nafasi, na kwa kadri utakavyokuwa unamuombea wewe utafunguka na yeye pia.Mpende sana, chuki inazuia mambo yako kufanikiwa, Mwonyeshe kuwa unampenda, unamjali na jitahidi sana kuwa naye karibu, siku atakayokuambia maumivu yake hata yeye atapona.Asante sana..nshaacha zamani kumtegemea mama sema naishi kwake natafuta kazi kimyakimya natafta nauli naenda kwenye interview kimyakimya..Mungu atasaidia