Nimemchoka sana mama yangu

Nimemchoka sana mama yangu

Pole sana aysee, kuwa mvumilivu, sali sana, Mungu ni mwaminifu atajibu kwa wakati wake. Lakini nakushauri, usimchukie mama yako mzazi.
simchukii..sina tu upendo yaan sina na its because of her..This affects me alot acha tu
 
Pole, naona toka aachwe na babaako anaona unamletea kiwingu ndani, Mungu akusaidie upate kazi ipo siku atakukumbuka
 
Pole dada,ndo changamoto za maisha hizo afadhali wewe hata mama yako kakusomesha kama mimi sijawahi onja ile raha ya kuwa na mama na nilipofikisha miaka 7 sijawahi ishi nae tena mpaka leo.......mi naona kinachomsumbua mama yako ni uoga wa kuonekana anakujali wewe zaidi kuliko wadogo zako wa hao baba yako mdogo na anadhani itakuwa ugomvi sababu hata wanaume pia baadhi tuna gubu kama wanawake ukiona mwanao hapendwi sana unakuwa ugomvi hasa kwa mke ambae umemwoa tayari ana mtoto/au wote mmeoana mkiwa na watoto,kingine anaona kama unamzibia nafasi sababu ushakuwa mkubwa na anatamani uondoke ili afurahie kikubwa kwako ni omba upate ajira ili utoke hapo kwake au ukipata fursa yoyote jitahidi uifanye upate pa kuanzia kwa umri ulonao hupaswi kujilizaliza kama bado mtoto,tambua kuwa unaweza fanya kitu pasipo kumtegemea mama yako kila kitu....ukiendelea kulialia unakaribisha vidonda vya tumbo bure huku mama yako akiishi maisha safi
Asante sana..nshaacha zamani kumtegemea mama sema naishi kwake natafuta kazi kimyakimya natafta nauli naenda kwenye interview kimyakimya..Mungu atasaidia
 
Kwa sababu tayar u have been living with this kwa muda mrefu na tayar umeshamjua alivyo bas huna haja ya kuweka chuki endlea kuish kama amabavyo anataka yeye soon utaanza kuish maisha yako na utaondokana na hzo kero.
Ila mbna kama mama mdogo ndio mzaz wako ila wamekuficha tu juu ya hilo
hapana..mama mdgo hajawah kuzaa she had sickle cells.alikua akipata hela kdgo alikua ananipa na kunisii nisome kwa bidii.alikua hana kazi alimtegemea mama pia na alikufa mdgo tu akiwa na 25years.This makes me cry
 
Pole sana mdada, Omba MUNGU sana atakupa faraja na hitaji la moyo wako
 
pole..Imebidi tu nirudi kwenye profile yako kusoma thread za nyuma.Una majanga/masahibu si kidogo...
 
Mama ni mama tu, mpende mama muheshimu mama upate heri na miaka mingi duniani
 
Kiukweli inauma sana na kama kunakidonda kinacholeta maumivu moyoni basis ni hiki....kupoteza au kutokupata penzi la wazazi...daima tunaamini mama au Baba ndio wenye mpnz ya dhati... Wao mapnz yao ni kama titi lilojaa utamu ambao huupati kwenye maziwa asali wala choculate au sehemu nyingine yoyote ileee....ni pnz hili linalofanya hata kama umezaliwa kwenye familia maskini kama Mimi uridhie hali ilee au ulale na njaaa utaona kawaida kabisa....kwasababu pnz LA dhati, adhimu na adimu umelikumbatia na kuliishi moyoni mwako!!!... Nakushauri njia pekeee ya kuondonakana na hali ya upweke ni kutafuta marafiki kama sio mitaani basi rudi kwenye dinii yako. Angalau utapata MTU ambaye utashare Naye maumivu haya yootee kwasababu kunaathari kubwa mno ya kuwa na mawazo mfululizo. Kwako na kwa kizazi chako. Kuwa makini sana juu ya hilo sii jambo LA kawaida kabisa. Mungu akusaidie upite salama kwenye bonde hili ngumu na lenye mtihani... Ubarikiwe.
Asante.sijawahi kumwacha Mungu.mkuu mimi hata kuwa na marafki wakaribu sana naona shida nahc kutopendwa kama mama hanipendi atanipenda nani?
 
Kama ni mama yako kweli mpokee kama alivyo....hizo ni changamoto tu,she will soon need your happy.Muombe Mungu...
 
Pole sana dada'ngu kwa yote yaliyokukuta. Sisemi kuwa mama'ko ni mtu mbaya sana Bali ninachosema ni kwamba si kawaida kwa mzazi, hasa mama, kufanyia mtoto wake mambo kama haya.

Hata hivyo nakushauri jitahidi kuwa focused na masomo usipoteze uelekeo. Mafanikio yako yapo karibu kukufikia.
 
Hapana Dunia haipo hv ngoja nikwambie kitu.. Kila jaribu au ugumu unalopitia Mungu amekuwekea MTU Wa kukusaidia au amekuwekea aina flani ya masaada utakaokufariji me naumia coz nilihawi kupita huko lkn mpka sasa ninafuraha kupitiliza... Jaribu kujitenga na upweke jisogeze jaribu na jamiii hakika ndani yako hakutakuwa na upweke tena kama ulivyoo... Kumbuka athari zitakazokukumba wakati ukiwa mpweke ni kumbwa maishani mwako....
 
Pole, naona toka aachwe na babaako anaona unamletea kiwingu ndani, Mungu akusaidie upate kazi ipo siku atakukumbuka
asante.hakuolewa na baba.baba alikua na familia tayari ndo akawa na mahusiano na mama.may be so
 
Nachoweza kukushauri ni kuwa mvumilivu, muombe Mungu sana, tumia muda mwingi zaidi kujishughulisha (usikae bure) na vijikazi vya nyumbani, mchukulie alivyo ipo siku utapata namna yyt ile itakayokuwezesha kujitegemea mwenyewe.
 
Hapana Dunia haipo hv ngoja nikwambie kitu.. Kila jaribu au ugumu unalopitia Mungu amekuwekea MTU Wa kukusaidia au amekuwekea aina flani ya masaada utakaokufariji me naumia coz nilihawi kupita huko lkn mpka sasa ninafuraha kupitiliza... Jaribu kujitenga na upweke jisogeze jaribu na jamiii hakika ndani yako hakutakuwa na upweke tena kama ulivyoo... Kumbuka athari zitakazokukumba wakati ukiwa mpweke ni kumbwa maishani mwako....
asante
 
Asante sana..nshaacha zamani kumtegemea mama sema naishi kwake natafuta kazi kimyakimya natafta nauli naenda kwenye interview kimyakimya..Mungu atasaidia
Pole sana, stori yako imeniuma sana, kuwa na uvumilivu na umtegemee mungu, jaribu kuwa Mtu wa Maombi, Maombi yana nguvu sana, Muombee mama yako kila unapopata nafasi, na kwa kadri utakavyokuwa unamuombea wewe utafunguka na yeye pia.Mpende sana, chuki inazuia mambo yako kufanikiwa, Mwonyeshe kuwa unampenda, unamjali na jitahidi sana kuwa naye karibu, siku atakayokuambia maumivu yake hata yeye atapona.
 
Back
Top Bottom