Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Kama hata uchumba bado anakusumbua hivi itakuwaje mkifungana pingu. Jitoe huko la sivyo hata rangi ya hewa utaiona
Halafu sasa ulale na mtu aliyekunywa pombe wewe hujanywa kha!!!! Usingizi hauji kabisa yaani pombe mbaya lakini mmmhhhh
Nyambura,pole kwa yote. Inaonekana tayari una uamuzi mkononi ila umeuleta Jf upigwe muhuri. Kama uyo mjeda hujataja hata zuri hata moja na umeuambia umma kuwa anakuchuna,je ni vema kuendelea naye?je ndo ulichokitaka kukiona kwa mwanaume? Je malengo yako yametimia? Dada,unapaswa uishi kwa masharti ya dhamira yako,ukiona moyo umetulia kwa uyo,basi kaa ulipo. Kama unaona unateseka ya nini uendelee kusumbuka?dada fanya uamuzi leo. Hamna atayekushauri muachane wakati unaona anakufaa au mugang'ane wakati unaona anakunyonya. Kama ni wanaume tuko wengi or sorry wako wengi ambao hawajaoa,na wametulia. Jaribu kuangaza pande zote uone je kuna mwenye sifa unazozitafuta? Tatizo la wanawake wengi mna inferiority complex. Ni tatizo kubwa. Dada hujasoma na kuangaika ili uishie matatizoni. Kumbuka pia kuna matokeo ya ulevi,je umeyafikiria?mlevi hufanya kila anachojisikia alaf asubuhi anajuta! Je huko tayari kujuta naye pale atapoona yatokanayo na ulevi yamemletea matatizo makuu? Usiogope,naona unawaza eti 'yapi kwani?' ok,ni kuvunjika,kuibia hadi nguo,kuambukizwa kaswende,kisonono,n.k,kugonga au kugongwa na vyombo vya usafiri. Eti anajiuliza mbona kwenye mchango huu kuna n.k ndo nini? Anyway jihadhari unless kama mmeshaamua kuwa mwili mmoja milele. Tofauti na hapo you still have a chance,to sign or shread a paper. All the best through your decision. Kumbuka, Mme bora utoka kwa Mungu.
Kaka unajipigia chepuo. Kusikia tu kuwa anatoaga nauli basi we ushaona deal! Ngoja siku hiyo atakuja kukuanika hapa ndo utakoma!
Kwenye mapenzi hakuna Kisomo, hata uwe na PHD utafanya mambo ambayo mtoto wa shule hiyo ya kata atashanga
Acha upuuzi kua, macho unayo lakini huoni.. masikio unayo lakini husikii :bored: sasa unataka tukusaidie nini wakati kila kitu ushaona kila kitu mwenyewe!! Kwani umeambiwa wanaume wameisha?????:disapointed: