Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Salary ni tamu japo ni ndogo...Tunafanya kugawana kasungura kadogo tu kwa ajili ya kuishi.
Mshahara umetoka mchana October 24 , leo hii October 26 hakuna kitu.
'Kamshahara ka serikali' kamekuta madeni kimbwa, ngeu za kutosha dadeki.
Sijui nitatoboaje November 24!!
Kwa kawaida mshahara unatakiwa uishe baada ya siku ngapi wakuu?
Mshahara umetoka mchana October 24 , leo hii October 26 hakuna kitu.
'Kamshahara ka serikali' kamekuta madeni kimbwa, ngeu za kutosha dadeki.
Sijui nitatoboaje November 24!!
Kwa kawaida mshahara unatakiwa uishe baada ya siku ngapi wakuu?