Nimelogwa ninenepe tu?

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
26,953
49,704
Natamani sana kupungua nina kg 94 sipungui toka mwaka jana. Sili msosi mkubwa nakunywa majuice sana natengeneza mwenyewe naweka karoti embe, beetroot tangawizi na parachichi nakula na msosi kidogo au sometimes sili kabisa.

Sielewi kwanini sipungui au vile sina mpenzi wa kunipa majanga?
 
Ile elimu ya dini uliyopewa na wazazi wako itumie kupigana na hayo mawazo ya kulogwa. Nenda gym, punguza kula starch, kunywa maji mengi na matunda uone kama huo uchawi utakuwepo.
nakula very healthy sijui mara ya mwisho kula wali lini navoupenda najitesa ila wapi
 
Karibu nikupe majanga...
Ndani ya muda mfupi lazima uwe kama mange...
 
Back
Top Bottom