Nimelogwa ninenepe tu?

Natamani sana kupungua nina kg 94 sipungui toka mwaka jana. Sili msosi mkubwa nakunywa majuice sana natengeneza mwenyewe naweka karoti embe, beetroot tangawizi na parachichi nakula na msosi kidogo au sometimes sili kabisa.

Sielewi kwanini sipungui au vile sina mpenzi wa kunipa majanga?

Hebu sema urefu wako nikuambie unapaswa kuwa na uzito gani; halafu tujue unatakiwa upunguze kilo ngapi.
 
Natamani sana kupungua nina kg 94 sipungui toka mwaka jana. Sili msosi mkubwa nakunywa majuice sana natengeneza mwenyewe naweka karoti embe, beetroot tangawizi na parachichi nakula na msosi kidogo au sometimes sili kabisa.

Sielewi kwanini sipungui au vile sina mpenzi wa kunipa majanga?
Acha kupiga punyeto
 
Ile elimu ya dini uliyopewa na wazazi wako itumie kupigana na hayo mawazo ya kulogwa. Nenda gym, punguza kula starch, kunywa maji mengi na matunda uone kama huo uchawi utakuwepo.
Tatizo anapiga punyeto sana
 
Natamani sana kupungua nina kg 94 sipungui toka mwaka jana. Sili msosi mkubwa nakunywa majuice sana natengeneza mwenyewe naweka karoti embe, beetroot tangawizi na parachichi nakula na msosi kidogo au sometimes sili kabisa.

Sielewi kwanini sipungui au vile sina mpenzi wa kunipa majanga?
Njoo PM tuyajenge. Utapenda mwenyewe
 
Ila kupungua sio kazi rahisi inhitji uvumilivu hta miaka miwili ndio unawez ona mabadiliko..usikatr tamaa..zoezi ndio soln
 
Natamani sana kupungua nina kg 94 sipungui toka mwaka jana. Sili msosi mkubwa nakunywa majuice sana natengeneza mwenyewe naweka karoti embe, beetroot tangawizi na parachichi nakula na msosi kidogo au sometimes sili kabisa.

Sielewi kwanini sipungui au vile sina mpenzi wa kunipa majanga?
punguza kale kamcheza bt napita 2
 
Ukiwa barabarani una drive tishia kumgonga traffic, utapungua tu rafiki yangu
 
Hizo juice tu utaachaje kunenepa! Piga juice ya tango na limao asubuhi na jioni halafu ulete mrejesho hapa!
 
wonder-soup-table.jpg
 
Natamani sana kupungua nina kg 94 sipungui toka mwaka jana. Sili msosi mkubwa nakunywa majuice sana natengeneza mwenyewe naweka karoti embe, beetroot tangawizi na parachichi nakula na msosi kidogo au sometimes sili kabisa.

Sielewi kwanini sipungui au vile sina mpenzi wa kunipa majanga?
Kuna tofauti kubwa sana ya kuwa mnene na kuwa fit. Unaweza kuwa mnene lakini ukawa vizuri kiafya kuliko wembamba. Hivyo jitahidi sana kufanya mazoezi ili uwe safi kiafya na sio kupunguza mwili. Endapo target ikiwa kupunguza mwili na ukaona mabadiliko hayatokei,utakuwa frustrated na mwili utaongezeka zaidi. Fanya mazoezi kuwa fit and healthy.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom