Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
So ni hivi, leo mida flani nikajisogeza mahala flani huku kwetu kwa lengo la ku swim kidogo na kupata ka kinywaji kagumu, actually sija-swim nilikua nawaangalia tu wadada wakiswim.
Basi ikafika mida mazoea na binti mmoja yakawa mazito sana gafla akaongezeka na mwingine wakawa wawili basi unajua watoto wa kike unawakuta na vichupi tuu kwenye maji kama bata huwezi chomoa kwa lolote watalohitaji siwajui hawanijui.
Nikawanunulia chakula, vinywaji, wamemaliza kuswim tukawa pamoja nini story za hapa na pale. Sasa ikawa shida ku choose nani nioneshe interest kwake maana kila mmoja anamvuto wake na kuomba namba imekua tabu namwomba yupi namwacha yupi
Basi mwisho wa siku tumeagana tuu nimeshindwa chukua namba ila promise ni kwamba next weekend watakuepo pale
Now nimekaa sebuleni najikuna tuu huku nikiangalia my fav series workaholics
Msos wa binti mmoja elf16 na vinywaji smirnof ice tatu tatu. Sasa zidisha mara mbili
Enewei
Ishakula kwangu hiyo
Basi ikafika mida mazoea na binti mmoja yakawa mazito sana gafla akaongezeka na mwingine wakawa wawili basi unajua watoto wa kike unawakuta na vichupi tuu kwenye maji kama bata huwezi chomoa kwa lolote watalohitaji siwajui hawanijui.
Nikawanunulia chakula, vinywaji, wamemaliza kuswim tukawa pamoja nini story za hapa na pale. Sasa ikawa shida ku choose nani nioneshe interest kwake maana kila mmoja anamvuto wake na kuomba namba imekua tabu namwomba yupi namwacha yupi
Basi mwisho wa siku tumeagana tuu nimeshindwa chukua namba ila promise ni kwamba next weekend watakuepo pale
Now nimekaa sebuleni najikuna tuu huku nikiangalia my fav series workaholics
Msos wa binti mmoja elf16 na vinywaji smirnof ice tatu tatu. Sasa zidisha mara mbili
Enewei
Ishakula kwangu hiyo