king herode
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 370
- 572
Ili mbegu izae lazima ife kwanza.Kwa hiyo ili siku nyingine ufanikiwe ni lazima utoe kwani mkono utoao ndio upokeao
Yohana 12:24
Ili mbegu izae lazima ife kwanza.Kwa hiyo ili siku nyingine ufanikiwe ni lazima utoe kwani mkono utoao ndio upokeao
Daah!!! Watu mna maneno...Chakula 16K+ Smirnoff 3(15K,1 per 5K) =31
31 ×2 = 62K
So uko hapo na mapu.mbu yako mawili unalilia elfu 62?
Siku nyingine ukiwa huna hela uwe unabaki nyumbani. Hela za starehe uwa hazisikitikiwi
HahahaaaJamaa yangu kutoka Forodhani kwenda Mkunazini safari ikawa ndefu kwa ajili ya 24,000/= kweli Azimio la Arusha liliwafundisha kubana matumizi![]()
Hahaaaa kwamba ni washamba?? Sio kwamba ni wastaarabu wanaheshim na kuthamin utu??Bujumbura si ni sawa uko mkoan hapa Tz..ni watu wa mkoan tuu wale.washamba wa papuch
Tafuta hela mkuu.So ni hivi, leo mida flani nikajisogeza mahala flani huku kwetu kwa lengo la ku swim kidogo na kupata ka kinywaji kagumu, actually sija-swim nilikua nawaangalia tu wadada wakiswim.
Basi ikafika mida mazoea na binti mmoja yakawa mazito sana gafla akaongezeka na mwingine wakawa wawili basi unajua watoto wa kike unawakuta na vichupi tuu kwenye maji kama bata huwezi chomoa kwa lolote watalohitaji siwajui hawanijui.
Nikawanunulia chakula, vinywaji, wamemaliza kuswim tukawa pamoja nini story za hapa na pale. Sasa ikawa shida ku choose nani nioneshe interest kwake maana kila mmoja anamvuto wake na kuomba namba imekua tabu namwomba yupi namwacha yupi
Basi mwisho wa siku tumeagana tuu nimeshindwa chukua namba ila promise ni kwamba next weekend watakuepo pale
Now nimekaa sebuleni najikuna tuu huku nikiangalia my fav series workaholics
Msos wa binti mmoja elf16 na vinywaji smirnof ice tatu tatu. Sasa zidisha mara mbili
Enewei
Ishakula kwangu hiyo