Acha tuu mkuu..kwa haraka haraka nmekaanga 100k kiboya tuuUmesha wahi kuona wapi Dereva anaendesha magari mawili kwa pamoja?
Chukua namba anza mchakato na mmoja ukimaliza unachkua namba kwa huyo huyo alafu unamalizia Project yako kwa ustadi kabisa kama ulivoliwa hela yako.
Kwahyo wew huhongi chifu...Kuna mtu atakuambia pombe na wanawake huleta umasikin.
Nawewe utamjibu ,bwanaeee maisha mafupi ,pesa natafuta.
Namm nakuambia ivi, KULIKO kuliwa pesa na Malaya, kwann usiende kutoa sadaka kwa watoto yatima, kama ninavyofanya mimi? .
Kwani hujaelewa nilipoandika 15 (5K per 1.Pale smirnof ni 5000 kiongoz
Whatever it is. Next time kama huna pesa ya kutosha baki nyumbani.Aliekwambia nan...nyie si watumiaj hamwez jua..ila sis tunaotoa hela wakat wew umekuja na kipedo chako tuu na lipbam unakula na kunywa na kusepa...ukiwa mwenyew unakunywa soda...huwa tunaumia ila hatusem tuu..sanasana pale unapohudumia na kuambulia 0
Namim mbona hujanihesabia mkuu manake kuongeza class ikabid nile vtu vya bei mbaya kdogo..mbavyo skuwa navyo kwenye plan..yan haraka haraka nmekata kama 100k kiboyaKwani hujaelewa nilipoandika 15 (5K per 1.
Anyways, pole sana.
Expect less, prepare more.
Mzee Baba , namiliki vyanzo kadhaa vya kuniingizia pesa ndogo tu ya nyanya.Kwahyo wew huhongi chifu...
Sawa kabisa kuwa na amani K utakula tu ,hapo ni kama umeweka akiba ya K tuNashkuru chifu.ngoja nisinungunike sana
Mko wachache sana kibongo bongo..nyie ndo mnakujaga kua kina meng..big up bro...namim mwaka huu nampango wa kuanza maisha mapya laa si hvyo uzeen itakua shidaMzee Baba , namiliki vyanzo kadhaa vya kuniingizia pesa ndogo tu ya nyanya.
Lakin KAMWE, sitokaa kutumia Pesa yangu kwa matumizi ya kuhonga, kumpa mtu aileweee pombe na starehe za aina iyo .
Pesa yangu watakula Watoto yatima na wenye mazingira magumu , lkn sio ale MALAYA.
Kama ni mwanamke, ili aile ni LAZIMA AWE MPENZI WANGU ,nahapa lazima tukubaliane ,mwanamke wako unayempenda nilazima umpe Pesa.
Kwa ufupi, mimi ni bahiri mno linapokuja masuala ya uvujaji wa pesa ktk mambo ya kijinga.
Nikushauri kitu,JIFUNZE KUA NA NIDHAMU SANA KWENYE PESA, PESA INAKAWAIDA YA KUJA NA KUONDOKA. ikiondoka ujajipanga, utajikataa.
Nikweli kabisa mkuu, fanya uwekezaji mahali ambapo utakapokua huna nguvu,basi kuna mtu mahali fulan atakumbuka "Uncle aliyenisomesha".Mko wachache sana kibongo bongo..nyie ndo mnakujaga kua kina meng..big up bro...namim mwaka huu nampango wa kuanza maisha mapya laa si hvyo uzeen itakua shida
Huna huruma wewe bibieChakula 16K+ Smirnoff 3(15K,1 per 5K) =31
31 ×2 = 62K
So uko hapo na mapu.mbu yako mawili unalilia elfu 62?
Siku nyingine ukiwa huna hela uwe unabaki nyumbani. Hela za starehe uwa hazisikitikiwi
Chakula 16K+ Smirnoff 3(15K,1 per 5K) =31
31 ×2 = 62K
So uko hapo na mapu.mbu yako mawili unalilia elfu 62?
Siku nyingine ukiwa huna hela uwe unabaki nyumbani. Hela za starehe uwa hazisikitikiwi
lijendisituation yako naielewa mkuu, ni nadra watu wengi kukuelewa.. sikilizia wknd ijayo, hapo ww unapoint kubwa sana ya kuwala, maana lazims wamestaajabu how come this dude katugharamia na hajashoboka zaid kuchukua namba, they must be feeling you man, na umewaacha wamechanganyikiwa zaidi.
next weeknd watakuepo, ww jichange tu ila this time chukua contacts na alika mmoja geto huo mwaliko hautakataliwa asilani.. ndo ushapata chombo hapo!
Aliekwambia nan...nyie si watumiaj hamwez jua..ila sis tunaotoa hela wakat wew umekuja na kipedo chako tuu na lipbam unakula na kunywa na kusepa...ukiwa mwenyew unakunywa soda...huwa tunaumia ila hatusem tuu..sanasana pale unapohudumia na kuambulia 0



