Wiyelele ulitulia hapa kati rafiki yangu!nini tena mpka ulie kilio cha wazi wazi hiv!
hiv wifi yangu anajua kuwa unajisikia hv kwake!
cn i do something?
mi mwanzo nilikuwa najisikia vibaya sana kiasi cha kuona namna gani sijui!but nafkir natakiwa niache kukuhukumu!nijaribu kufanya kitu flan!
twenzetu chemba!
mi siko mkamilifu kwangu lakini nahisi hapa kuna shida zaidiya hii tuionayo nyuma ya keyboard
Nimelalamika sana hapa JF, kuomba msaada nikapewa. Kuna wakati nilionekana mkorofi, nikajirudi kuwa mpole, kumbe upole wangu umenimaliza..
Umewahi kulia? Mwenzenu nimelizwa sana na huyu mke wangu. Sasa nasema basi, bora nihamie Kimara alikosema Lisa.
Nadhani nitaachana na kilio hiki ili abaki salama.
View attachment 87013
Umewahi kulia? Mwenzenu nimelizwa sana na huyu mke wangu. Sasa nasema basi, bora nihamie Kimara alikosema Lisa.
Nadhani nitaachana na kilio hiki ili abaki salama.
View attachment 87013
Mtani wangu snowhite take the lead am behind you, honestly,tunaweza tukawa tunamshambulia huyu Wiyelele kumbe ana matatizo makubwa.Anza ukishindwa give me a shout,will try my best too
Umewahi kulia? Mwenzenu nimelizwa sana na huyu mke wangu. Sasa nasema basi, bora nihamie Kimara alikosema Lisa.
Nadhani nitaachana na kilio hiki ili abaki salama.
View attachment 87013