CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
oh pole! gud nyt nahc stim zinakata network msuba noumer. bye e e e e e e !!!!!!!!
Hujui JF Chit chat ni ya kula bata.......halafu ID yako kuna mtu kaihak? mbona unaleta unyonge ijumaa hii...Acha woga au wewe sio Young_Master
Ndio mimi mzeiya ambaye watu huniita Meezy the Hustler a.k.a Young_Master cuz I flow very faster like Chris Breezy and Lil Weezy the carter...And you know what...I neva bring mashauz, i call myself Micgadz, I make it douz, cuz am hotter than the sun.
Yeah now this is Young master
Kumbe wewe hujui kitu kabisa.....Kenya wale walikunywa mchanganyiko wa ethanol (ya kizungu) eti wanadhani chan'gaa.
hapa pamenibore ngoja niende zangu level 8. . .
Hilo nakubaliana na wewe ila hakikisha unakitunza eeh!!
c bora shat miguu, yan unaeza vaa pichu kichwan ukadhan kofia!
Wewe mtoto unakata stimu kabisa hayo majina yananifanya nitoke machozi.......kumbe magesa kafariki dah RIP. Maduka alikwenda Rebu...sheba yuko musoma niliambiwa online na mtoto wake.......Onyango yule mwalimu wa english mlemavu...sapa ok kwa sana.............Jina la Rugumba ndio nalitamka kwa mara ya kwanza baada ya miaka 17 (mwalimu wangu darasa la kwanza).
Umenipeleka mbali sana aaaaaaaaaagh Charm why?
Hehehee kumbe hata wewe wagonga ndofu kimyakimya eeh lol
Nikutumie kitu cha Arusha?no b52 me ctumii alcohol yoyote but napulisa ile kitu ya natural aka mtansania haliç. pia napulisa occasionally couz huwa inanipa stim ya mwes msima!
ushalewa, kakojoe ukalale sasa
no b52 me ctumii alcohol yoyote but napulisa ile kitu ya natural aka mtansania haliç. pia napulisa occasionally couz huwa inanipa stim ya mwes msima!
cha kibumaye hakina stim, ushaonja cha bhukira! weeee