King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Weweeee ahh King'asti mtoto wa ukwee nipe ramani upo pande zipi...si unajua mwanaume kama kondoo kwa mbeiji'n
Mie nilikuwa zangu kanisani nakunywa mvinyo na paroko. Si unajua Nina hesabu ya kuwa padiri wakilegeza masheriti:israel:
Last edited by a moderator: