Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,440
Hahahaaa mi leo nataka nijidunge 2 tu za afya ili kesho nisichelewe kanisaniAfadhali yako.Mimi sikumbuki nilikula dozi gani!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa mi leo nataka nijidunge 2 tu za afya ili kesho nisichelewe kanisaniAfadhali yako.Mimi sikumbuki nilikula dozi gani!!
Laziada...! mi kwa hayo mawili siongezi la ziada hata mojaFunda moja tu la ziada........
CUTE upo mpendwa? Mzima wewe?itakua alikutana na chang'aa
Naomba hilo neno 'umezeeka' uliondoe kabla hawajasoma wengine................Kuhusu kizungu si tu umeunguza fuse bali socket breaker imevunjika kabisa
Judgment unafanya masihara wewe..........Kitu cha TA ndio mpango mzima........hiyo ya kwenu tunakula kama mboga, charminglady mwambie huyo..............tena tuna mpango wa kumpatia Bishanga tuone makeke yake
Circuit breaker nnazo kadhaa, kwa hiyo ikibreki moja zingine ni automated!
Sasa kama sio kuzeeka unashtukashtuka nini sasa?
mi waafya sijui weye wajionaje na khali
BADILI TABIA Unaongea na mimi? au Erickb52.....hebu msome hapa chini
Acha kumjibu mtoto mzuri kama CUTE namna hiyo........utakosa mwana na maji ya moto
I don't know how 'am writing this thread......................Wapi Erickb52, Asprin, papaa Bishanga, the sober shemale Kongosho 'ma former wife charminglady.. cacico the lady in da haus, Mphamvu msauzi chotara, Young_Master, the man himself Judgment & all JF CHIT CHAT's
Let hav paaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaary....Dj nani pale.....? weka kitu cha Msondo "hapa piga ua talaka yangu utatoa" ukimaliza unatundika cha Juma Nature "watu waruka na kukanyagana"
Haya niambie nikojoe nini?
sasa iyo khali utaionaje ktk kioo jamaniNgoja nichukue kwanza kioo nijiangalie halafu nitakwambia najionaje.
Unanijua unanisikia....sinywi umkombot wewe nakunywa kilevi digitali