Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,716
- 5,346
Brother we sema ulipigwa hio iphone ukaja kukifanya unaulizia bei ili uambiwe ofa upite na kichwa cha mtuWatu kama nyie huwa hamnipi tabu kabisa,haya sina hiyo IPHONE.
Iphone zote zenye amoled hazina hiyo bezzle kwa sababu kioo cha amoled kinaweza kusupport display yenye chin ndogo
Labda useme hiyo ni sample ila hakuna iphone ya hivi boss narudia HAKUNA
Afu mm natumia tecno tu nmekushtukia je wenye iphone zao wakija hapa utakimbia uzi