Nimeletewa IPhone 13 Pro max na rafiki yangu

Nimeletewa IPhone 13 Pro max na rafiki yangu

Watu kama nyie huwa hamnipi tabu kabisa,haya sina hiyo IPHONE.
Brother we sema ulipigwa hio iphone ukaja kukifanya unaulizia bei ili uambiwe ofa upite na kichwa cha mtu

Iphone zote zenye amoled hazina hiyo bezzle kwa sababu kioo cha amoled kinaweza kusupport display yenye chin ndogo
Labda useme hiyo ni sample ila hakuna iphone ya hivi boss narudia HAKUNA
Afu mm natumia tecno tu nmekushtukia je wenye iphone zao wakija hapa utakimbia uzi
 
Brother we sema ulipigwa hio iphone ukaja kukifanya unaulizia bei ili uambiwe ofa upite na kichwa cha mtu

Iphone zote zenye amoled hazina hiyo bezzle kwa sababu kioo cha amoled kinaweza kusupport display yenye chin ndogo
Labda useme hiyo ni sample ila hakuna iphone ya hivi boss narudia HAKUNA
Afu mm natumia tecno tu nmekushtukia je wenye iphone zao wakija hapa utakimbia uzi
- Sawa nilitaka nipite na kichwa cha mtu.
  • Sio Iphone.
  • Nilipigwa

UMERIDHIKA?
 
hehehe bro marekani hakuna iphone 13 fake, soko la kule bidhaa ziko highly monitored..sio kama tbs kibongo..hiyo umepigwa na unajaribu kurudisha pesa kupitia mteja mwingine asie na ufahamu wa bidhaa za Apple.
Af unajikuta mjuaji..Karibu Mjini
 
Wakuu mwezi uliopita rafiki yangu alikuja kunisabahi kutoka Marekani - Washington, mbali na vitu vingi ameniletea pia zawadi ya IPhone 13 Pro Max, Gb 128.

Kiukweli, mimi sio muumini wa divice za Apple. Nilitaka kujua yafuatayo kutoka kwa wajuzi

Nikiamua kuiuza inaweza pata wanunuzi?

Naweza pata kiasi gani nikiiuza?

Ikiwa kuna yoyote anahitaji aniambie.

Location: Dar es Salaam

View attachment 2279122
Story ndeeefu. Si ungesema wauza. Watu wataje bei.
 

Attachments

  • IMG_20220702_201020.jpg
    IMG_20220702_201020.jpg
    82.5 KB · Views: 33
hehehe bro marekani hakuna iphone 13 fake, soko kule bidhaa liko highly monitored..sio kama tbs kibongo..hiyo umepigwa na unajaribu kurudisha pesa kupitia mteja mwingine asie na ufahamu wa bidhaa za Apple.
Af unajikuta mjuaji..Karibu Mjini
Sawa mjuaji
 
Sawa Mkuu ngoja tujaribu kuuza hili li COPY LA WASHINGTON DC pengine tutapata hiyo laki niliyoambiwa hapo juu

Hebu nenda setting, general kisha About piga picha maelezo ya Model number au Serial number uyalete hiyo itaondoa wasiwasi wa wadau wanaojudge kuwa no copy au la!
 
Hebu nenda setting, general kisha About piga picha maelezo ya Model number au Serial number uyalete hiyo itaondoa wasiwasi wa wadau wanaojudge kuwa no copy au la!
Mkuu me sipo hapa kuuthibitishia umma kuwa simu ni fake au original, huyo ninaemthibitishia ndio amesha judge kuwa ni fake kwa picha nasumbukia nini sasa? I'm not here to impress anyone.
 
wenye infinix note 12 wana wivu sana
Mkuu nakwambia wewe acha tu wanadamu, wajuzi kina Boniface Chengula wame certify kuwa simu ni original nimewatumia na specifications zake, wajuaji wa humu JF sasa daah, mara simu ndefu kama uso wa Asha Ngedere ili mradi kila mmoja aonekane ameongea,ni watanzania sishangai huo ndio uhalisia wao.
 
Unabahati sana wengine hawapati macho matatu had watoe jicho moja
 
Eti mtu raia wa America atoke Marekani asafiri bound route na Emirates kwa ajili ya kuleta simu FAKE, REFURBISHED (COPY), sijui kutukana ngoja nikae kimya tu.
 
Back
Top Bottom