T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,292
- 44,749
Niko tiyari kubeti mkono wewe uweke jiwe. Hiyo siyo iPhone 13 Pro Max.
Umeona hapo walipokuzungushia duara kwenye top notch ya juu na chini kwenye flame ya simu na screen. Hii copy imeacha nafasi kubwa ya flame pale chini. Juu pale ile notch kwenye camera ya kwako it seems ni ndogo na lens zake sio idadi sawa na lens zilizopo kwenye original, kwako naona kama kuna lens moja inaonekana sana kuliko, ni kama LED light hivi wakati hakuna high end smartphone ina flash kwa selfie camera. Nyuma ile logo ya Apple ilitakiwa ionekane, wewe siioni sasa sijui simu uliyotumia kupiga picha haioneshi vizuri
Umeona hapo walipokuzungushia duara kwenye top notch ya juu na chini kwenye flame ya simu na screen. Hii copy imeacha nafasi kubwa ya flame pale chini. Juu pale ile notch kwenye camera ya kwako it seems ni ndogo na lens zake sio idadi sawa na lens zilizopo kwenye original, kwako naona kama kuna lens moja inaonekana sana kuliko, ni kama LED light hivi wakati hakuna high end smartphone ina flash kwa selfie camera. Nyuma ile logo ya Apple ilitakiwa ionekane, wewe siioni sasa sijui simu uliyotumia kupiga picha haioneshi vizuri


