Crusaders
Senior Member
- Jun 30, 2022
- 167
- 207
- Thread starter
- #21
Niambie mkuu ungekuwa wewe ungefanyaje? ukishapewa zawadi lazima umpangie mtu matumizi? me situmii IPhone napenda Sumsung na Xiaomi, nifanye? niiweke ndani niwe naiangalia?Imagine huyo jamaa anasoma huu uzi, sijui atatuchukuliaje watanzania!
iphone 13 pro max plus ya buza

watanzania, punguzeni ujuaji. Haya nionyeshe hicho ulichokiona hapo kwenye hii picha.