Nimeletewa IPhone 13 Pro max na rafiki yangu

Nimeletewa IPhone 13 Pro max na rafiki yangu

iphone 13 pro max plus ya buza
IMG_7891.jpg
 
nina jamaa angu pale makumbusho ananunua na kuuza iphone used... naweza kukuunganisha nae uskie atainunua kwa bei gan
3AA00221-A151-406B-8BAC-F0E123DE8F8B.jpeg
 
Hii simu kama hatujaletewa copy bas jina la bwana lihimidiwe
 
iphone 13 pro max plus ya buzaView attachment 2279145
Sawa fahamu hivyo hivyo, iwe ya Buza iwe ya Yombo, utajua wewe, sasa unazungushia duara mahali ilipo reflect taswira ya mikono yangu wakati napigia picha ili?akili zingine bhana watanzania, punguzeni ujuaji. Haya nionyeshe hicho ulichokiona hapo kwenye hii picha.
IMG_20220701_171628.jpg
IMG_20220701_171838.jpg
 
Imagine huyo jamaa anasoma huu uzi, sijui atatuchukuliaje watanzania!
Kaoza samaki mmoja(Alepewa zawadi) unatujumlisha wote? Unahisi wote humu tungeiuza hiyo simu kama tungepewa zawadi? Mkuu epuka sana kutoa mjumuisho.
 
Back
Top Bottom